malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,706
Mkuu inategemea na Aina ya biashara mwingne biashara mauzo 3m faida haifiki hata lakiUkitaka biashara yako ikue kwa HARAKA zaidi,
Ukishatoa matumizi yote,
Kwa sikU Hutakiwi kutumia zaidi ya 10% ya faida yote uloingiza kwa sikU
Inamaana,
Kwa mfano umeuza laki 1, na ukapiga hesabu zako ukakuta faida yako Ni elfu 10.
Basi
Kama umeingiza faida ya 10,000 kwa sikU,
Hupaswi kutumia zaidi ya 1,000 kwa iyo sikU husika Kwenye matumizi yako yote ya binafs na familia.