CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,935
- 22,919
Nina mpenzi wangu ana hamu ya mtoto sio masihara na bahati nzuri au mbaya kakutana na mimi mpenda watoto.
Ila bahati yetu sijui mbaya au nzuri tunakwichi kwichi ovyo hadi danger days ila hamna mtu kushika mimba.
Imefikia wakati hadi huyu mpenzi wangu ananiambia (yeye ni mgumba sijui) nikamwambia hapana hauwezi kuwa mgumba bwana. Anasema yeye ni mgumba kwa sababu ananijua mimi ni (single father) nina watoto wawili huko nje, so ana uhakika kabisa tatizo atakuwa nalo yeye na sio mimi. Sasa mimi namtia moyo sana na sasa hivi tushafanya kama mchezo ku kwichi kwich.
Sehemu yeyote mahali popote siku yoyote sisi twende.
SWALI:
Kuna njia gani rahisi itakayotusaidia kupata mtoto kwa haraka zaidi au kama ni kukwich kwich tupendelee kutumia muda gani mzuri?
Tunapomaliza kukwichi kwichi huwa lazima tukaoge na tunapooga lazima huyu mpenzi wangu ajisafishe vizuri na akojoe. Nasikia wanasema mwanamke akimaliza kufanya mapenzi akienda kukojoa anaflash sperm zote so uwezekano wa yeye kushika mimba unakuwa 0.9%.
Nini tufanye?
Nini tusifanye?
Naombeni ushauri wenu kwa kina maana nipo zangu hapa nakunywa supu ya PWEZA muda wote nipo tayari kwa mashambulizi.
Ila bahati yetu sijui mbaya au nzuri tunakwichi kwichi ovyo hadi danger days ila hamna mtu kushika mimba.
Imefikia wakati hadi huyu mpenzi wangu ananiambia (yeye ni mgumba sijui) nikamwambia hapana hauwezi kuwa mgumba bwana. Anasema yeye ni mgumba kwa sababu ananijua mimi ni (single father) nina watoto wawili huko nje, so ana uhakika kabisa tatizo atakuwa nalo yeye na sio mimi. Sasa mimi namtia moyo sana na sasa hivi tushafanya kama mchezo ku kwichi kwich.
Sehemu yeyote mahali popote siku yoyote sisi twende.
SWALI:
Kuna njia gani rahisi itakayotusaidia kupata mtoto kwa haraka zaidi au kama ni kukwich kwich tupendelee kutumia muda gani mzuri?
Tunapomaliza kukwichi kwichi huwa lazima tukaoge na tunapooga lazima huyu mpenzi wangu ajisafishe vizuri na akojoe. Nasikia wanasema mwanamke akimaliza kufanya mapenzi akienda kukojoa anaflash sperm zote so uwezekano wa yeye kushika mimba unakuwa 0.9%.
Nini tufanye?
Nini tusifanye?
Naombeni ushauri wenu kwa kina maana nipo zangu hapa nakunywa supu ya PWEZA muda wote nipo tayari kwa mashambulizi.