Weera weraaaa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 740
- 657
Heshima mbele wakuu wana jukwaa.
Kichwa hapo juu cha husika.
Je, nini huwa wajibu wa idara tajwa pale ambapo kiongozi mkuu wa nchi anapo kiuka katiba ya nchi na kuhatarisha maslahi ya nchi husika?
Wajuzi wa masuala haya naomba msaada.
Ahsanteni
Kichwa hapo juu cha husika.
Je, nini huwa wajibu wa idara tajwa pale ambapo kiongozi mkuu wa nchi anapo kiuka katiba ya nchi na kuhatarisha maslahi ya nchi husika?
Wajuzi wa masuala haya naomba msaada.
Ahsanteni