Mzee toka tz watolewe sijafatilia hii michuoano, haya nijuze uganda kachukua kombe?Ni kipi Watanzania tujifunze!
Mamlaka husika msijifungie ndani kula mihogo. Uganda karibu sana hapa.
Nendeni mkajifunze.
Mzee toka tz watolewe sijafatilia hii michuoano, haya nijuze uganda kachukua kombe?Ni kipi Watanzania tujifunze!
Mamlaka husika msijifungie ndani kula mihogo. Uganda karibu sana hapa.
Nendeni mkajifunze.
Ameingia fainali baada ya kumtungua Tunisia 4-1, Tunisia aliyemtoa Morocco robo fainaliMzee toka tz watolewe sijafatilia hii michuoano, haya nijuze uganda kachukua kombe?
Thanx! Fainali lini? Na atacheza na nani?Ameingia fainali baada ya kumtungua Tunisia 4-1, Tunisia aliyemtoa Morocco robo fainali
J/mosi na GhanaThanx! Fainali lini? Na atacheza na nani?
Ni genetics tu mkuu, waganda wana asili ya urefu kumbuka wako jirani na South SudanNje kidogo ya mada, waganda wamekomaa mnoo tofautisha na hawa madogo wanaoshindia chipsi yai hapo kinondoni ..
Timu ikitolewa kwenye mashindano ipelekwe moja kwa moja mang'ola wakalime vitunguu msimu mmojaNini kifanyike!?