Ni nini tofauti ya maneno haya katika biblia? 'Mungu' na 'mungu'

Jumakidogo

R I P
Jul 16, 2009
1,851
417
Nimekuwa nikisoma biblia na kukutana na neno Mungu likiandikwa ama kwa kuanza na herufi kubwa au herufi ndogo. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini neno hili huandikwa hivyo. Yaani unaweza kukuta limeandikwa 'Mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi kubwa au unaweza kukuta pia limeandikwa 'mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi ndogo. Hii imetumika hivi ikiwa na maana gani? Au hii ninayotumia imechapwa ikiwa na makosa ya kibinadamu? Pia kuna neno 'Bwana' na 'bwana' Nadhani wengi wetu tunajua vizuri kuandika katika lugha yetu ya kiswahili. Lakini hili limenipa utata kidogo. Angalizo; sitarajii ubishi na ushabiki wa kidini katika hili. Nimeuliza tu kwa ufupi nategemea majibu kutoka kwa wajuaji na hasa wanaoijua biblia ipasavyo.
 
mungu ya ivi weka reference kucheck

Kama unaisoma sana biblia sidhani kama kuna haja ya kuwa na thread ndefu kutokana na ref nyingi. We soma hasa kwenye agano la kale utakutana nazo nyingi. Vinginevyo labda hii ninayo tumia mimi ina makosa.
 
Nimekuwa nikisoma biblia na kukutana na neno Mungu likiandikwa ama kwa kuanza na herufi kubwa au herufi ndogo. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini neno hili huandikwa hivyo. Yaani unaweza kukuta limeandikwa 'Mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi kubwa au unaweza kukuta pia limeandikwa 'mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi ndogo. Hii imetumika hivi ikiwa na maana gani? Au hii ninayotumia imechapwa ikiwa na makosa ya kibinadamu? Pia kuna neno 'Bwana' na 'bwana' Nadhani wengi wetu tunajua vizuri kuandika katika lugha yetu ya kiswahili. Lakini hili limenipa utata kidogo. Angalizo; sitarajii ubishi na ushabiki wa kidini katika hili. Nimeuliza tu kwa ufupi nategemea majibu kutoka kwa wajuaji na hasa wanaoijua biblia ipasavyo.
Hakuna utata wala makosa hapo kwa maana "Mungu" na "Bwana" hutumika anapozungumziwa Mungu wa kweli na "mungu" na "bwana" huzungumziwa anapotajwa mungu asiye wa kweli (Wa kishetani ambaye naye hupenda kujiita bwana katika himaya zake) au bwana wa kidunia yaani bosi nyapara au mume.
Kwa hiyo "Mungu" si sawa na "mungu" au "miungu" na "Bwana" si sawa na "bwana" Ndiyo maana dinafsi siipendi na wala siiamini kabisa salamu ya "Bwana asifiwe" kwani
ni vigumu kutofautisha nibwana yupi anayezungumziwa. Hivi kuna ugumu gani kutamka bayana Bwana Yesu Kristo Asifiwe au Tumsifu Yesu Kristu?
 
Hakuna utata wala makosa hapo kwa maana "Mungu" na "Bwana" hutumika anapozungumziwa Mungu wa kweli na "mungu" na "bwana" huzungumziwa anapotajwa mungu asiye wa kweli (Wa kishetani ambaye naye hupenda kujiita bwana katika himaya zake) au bwana wa kidunia yaani bosi nyapara au mume.
Kwa hiyo "Mungu" si sawa na "mungu" au "miungu" na "Bwana" si sawa na "bwana" Ndiyo maana dinafsi siipendi na wala siiamini kabisa salamu ya "Bwana asifiwe" kwani
ni vigumu kutofautisha nibwana yupi anayezungumziwa. Hivi kuna ugumu gani kutamka bayana Bwana Yesu Kristo Asifiwe au Tumsifu Yesu Kristu?

Loh! Ushukuriwe. Nimekupata kwa namna murua kabisa.
 
Mungu maana yake ndiye Mungu wa kweli lakini mungu ndiye pia huitwa mungu wa dunia hii ikimaanisha shetani
 
Hakuna utata wala makosa hapo kwa maana "Mungu" na "Bwana" hutumika anapozungumziwa Mungu wa kweli na "mungu" na "bwana" huzungumziwa anapotajwa mungu asiye wa kweli (Wa kishetani ambaye naye hupenda kujiita bwana katika himaya zake) au bwana wa kidunia yaani bosi nyapara au mume.
Kwa hiyo "Mungu" si sawa na "mungu" au "miungu" na "Bwana" si sawa na "bwana" Ndiyo maana dinafsi siipendi na wala siiamini kabisa salamu ya "Bwana asifiwe" kwani
ni vigumu kutofautisha nibwana yupi anayezungumziwa. Hivi kuna ugumu gani kutamka bayana Bwana Yesu Kristo Asifiwe au Tumsifu Yesu Kristu?

Asalaam Aleykum. (Amani iwe juu yenu).
 
hiyo avatar yako imeniacha hoi.... inafanana na mungu na sio Mungu....
 
Nimekuwa nikisoma biblia na kukutana na neno Mungu likiandikwa ama kwa kuanza na herufi kubwa au herufi ndogo. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini neno hili huandikwa hivyo. Yaani unaweza kukuta limeandikwa 'Mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi kubwa au unaweza kukuta pia limeandikwa 'mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi ndogo. Hii imetumika hivi ikiwa na maana gani? Au hii ninayotumia imechapwa ikiwa na makosa ya kibinadamu? Pia kuna neno 'Bwana' na 'bwana' Nadhani wengi wetu tunajua vizuri kuandika katika lugha yetu ya kiswahili. Lakini hili limenipa utata kidogo. Angalizo; sitarajii ubishi na ushabiki wa kidini katika hili. Nimeuliza tu kwa ufupi nategemea majibu kutoka kwa wajuaji na hasa wanaoijua biblia ipasavyo.


Bwana J,pole sana na utata unaopata au uliopata katika kusoma Biblia.Jina/neno Bwana likiandikwa kwa herufi kubwa tupu yaani BWANA hili linamhusu mwenyezi kama waisrael walivyomtamka jah'weh au yehova. Ila ukikuta limeandikwa kwa herufi ndogo Bwana/bwana linamaanisha kiumbe mwingine mwenye mamraka anaweza kuwa nabii,maraika,shetani au hata mwanadamu.
Na katika neno MUNGU au Mungu/mungu halina tofauti kama linavyojionyesha hapo juu,upande wa Mungu na upande wa mwanadamu.
Wakati mwingine shetani anaitwa mungu wa ulimwengu;-MFANO.1. Yesu aliwambia wanafunzi wake shetani mungu wa ulimwengu huu amewafumba macho hata msiweze kuamini na kuokolewa.(nukuu toka agano jipya).
MFANO.2 MUNGU akamwambia Mussa,wewe utakuwa mungu kwa Farao na Haruni ndugu yako atakuwa Nabii kwa Farao ili awape ruhusa waisraeli watoke Misri.(Hii ni baada ya Mussa kudai kuwa ana aibu na mdomo wake ni mzito kuongea.(nukuu toka agano la kale).
 
Bwana J,pole sana na utata unaopata au uliopata katika kusoma Biblia.Jina/neno Bwana likiandikwa kwa herufi kubwa tupu yaani BWANA hili linamhusu mwenyezi kama waisrael walivyomtamka jah'weh au yehova. Ila ukikuta limeandikwa kwa herufi ndogo Bwana/bwana linamaanisha kiumbe mwingine mwenye mamraka anaweza kuwa nabii,maraika,shetani au hata mwanadamu.
Na katika neno MUNGU au Mungu/mungu halina tofauti kama linavyojionyesha hapo juu,upande wa Mungu na upande wa mwanadamu.
Wakati mwingine shetani anaitwa mungu wa ulimwengu;-MFANO.1. Yesu aliwambia wanafunzi wake shetani mungu wa ulimwengu huu amewafumba macho hata msiweze kuamini na kuokolewa.(nukuu toka agano jipya).
MFANO.2 MUNGU akamwambia Mussa,wewe utakuwa mungu kwa Farao na Haruni ndugu yako atakuwa Nabii kwa Farao ili awape ruhusa waisraeli watoke Misri.(Hii ni baada ya Mussa kudai kuwa ana aibu na mdomo wake ni mzito kuongea.(nukuu toka agano la kale).

Ahsante kwa ufafanuzi uliomwema ndugu yangu. BWANA Awe nawe.
 
Nimekuwa nikisoma biblia na kukutana na neno Mungu likiandikwa ama kwa kuanza na herufi kubwa au herufi ndogo. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini neno hili huandikwa hivyo. Yaani unaweza kukuta limeandikwa 'Mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi kubwa au unaweza kukuta pia limeandikwa 'mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi ndogo. Hii imetumika hivi ikiwa na maana gani? Au hii ninayotumia imechapwa ikiwa na makosa ya kibinadamu? Pia kuna neno 'Bwana' na 'bwana' Nadhani wengi wetu tunajua vizuri kuandika katika lugha yetu ya kiswahili. Lakini hili limenipa utata kidogo. Angalizo; sitarajii ubishi na ushabiki wa kidini katika hili. Nimeuliza tu kwa ufupi nategemea majibu kutoka kwa wajuaji na hasa wanaoijua biblia ipasavyo.


Tupe reference ni sehemu gani katika Biblia pa meandikwa ili tuweze kufuatilia na kutoa michango yetu.
 
Nimekuwa nikisoma biblia na kukutana na neno Mungu likiandikwa ama kwa kuanza na herufi kubwa au herufi ndogo. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini neno hili huandikwa hivyo. Yaani unaweza kukuta limeandikwa 'Mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi kubwa au unaweza kukuta pia limeandikwa 'mungu' katikati ya sentensi kwa kuanza na herufi ndogo. Hii imetumika hivi ikiwa na maana gani? Au hii ninayotumia imechapwa ikiwa na makosa ya kibinadamu? Pia kuna neno 'Bwana' na 'bwana' Nadhani wengi wetu tunajua vizuri kuandika katika lugha yetu ya kiswahili. Lakini hili limenipa utata kidogo. Angalizo; sitarajii ubishi na ushabiki wa kidini katika hili. Nimeuliza tu kwa ufupi nategemea majibu kutoka kwa wajuaji na hasa wanaoijua biblia ipasavyo.
Kuandika neno 'Mungu' au 'mungu', hakubadilishi maana, kwa sababu kuna lugha ambazo hazina upper or lowercase. Lugha ya kiingereza zamani walikuwa wakiandika kwa herufi kubwa kabla ya kubadilisha na kuandika herufi kubwa kwenye jina la mtu, na baadae wakaja kubadilisha na kufuata mfumo huu ambao tumeuzoea.


Kuandika neno 'Mungu' kwa herufi kubwa, inasemekeana ni kwa ajili ya insult theists tu, na wao kwa kulipa kwao uandika kwa kuanza na herufi ndogo kwa madhumuni hayo hayo.


Lakini unapozungumza au kutoa mahubiri ni vipi unaweza kulitofautisha neno 'Mungu' na 'mungu' kiukweli uwezi kutofautisha, kwa sababu yote yanatamkika kwa namna moja.


Hapo juu nimedokeza kuwa kuna lugha ambazo hazina herufi kubwa na ndogo. Mfano lugha ya Kihebrania (Hebrew) na Kiarabu (Arab), ambazo ambazo kimatamshi zinashabihiana na uandikwa kwa kutokea kulia kuelekea kushoto, najuwa wengi watashangaa, lakini ndivyo zinavyo andikwa na hazitumii herufi kubwa na ndogo, ila tunapo tafsiri machapisho ya Kihebrania na Kiarabu basi tunafuata utaratibu tuliouzoea na kuandika kwa kutumia herufi kubwa na ndogo pale tunapo ona panafaa. Na tukihamisha maandishi kutoka kwenye lugha zetu aidha Kiswahili au Kiingereza, basi tutafuata taratibu zao kwa kuwa taratibu zao za kiuandishi ni tofauti na lugha zingine.


Lugha zingine ambazo hazina herufi kubwa na ndogo ni Arabic, Hebrew, Hindi, Tamil, Chinese, Japanese, Gujarati, Thai... Kwa ufupi karibia lugha zote ambazo hazina asili ya herufi za Kilatini hazina herufi kubwa na ndogo...

Na tunapozungumza hatutofautishi kati ya herufi kubwa na ndogo.
 
Kuandika neno 'Mungu' au 'mungu', hakubadilishi maana, kwa sababu kuna lugha ambazo hazina upper or lowercase. Lugha ya kiingereza zamani walikuwa wakiandika kwa herufi kubwa kabla ya kubadilisha na kuandika herufi kubwa kwenye jina la mtu, na baadae wakaja kubadilisha na kufuata mfumo huu ambao tumeuzoea.


Kuandika neno 'Mungu' kwa herufi kubwa, inasemekeana ni kwa ajili ya insult theists tu, na wao kwa kulipa kwao uandika kwa kuanza na herufi ndogo kwa madhumuni hayo hayo.


Lakini unapozungumza au kutoa mahubiri ni vipi unaweza kulitofautisha neno 'Mungu' na 'mungu' kiukweli uwezi kutofautisha, kwa sababu yote yanatamkika kwa namna moja.


Hapo juu nimedokeza kuwa kuna lugha ambazo hazina herufi kubwa na ndogo. Mfano lugha ya Kihebrania (Hebrew) na Kiarabu (Arab), ambazo ambazo kimatamshi zinashabihiana na uandikwa kwa kutokea kulia kuelekea kushoto, najuwa wengi watashangaa, lakini ndivyo zinavyo andikwa na hazitumii herufi kubwa na ndogo, ila tunapo tafsiri machapisho ya Kihebrania na Kiarabu basi tunafuata utaratibu tuliouzoea na kuandika kwa kutumia herufi kubwa na ndogo pale tunapo ona panafaa. Na tukihamisha maandishi kutoka kwenye lugha zetu aidha Kiswahili au Kiingereza, basi tutafuata taratibu zao kwa kuwa taratibu zao za kiuandishi ni tofauti na lugha zingine.


Lugha zingine ambazo hazina herufi kubwa na ndogo ni Arabic, Hebrew, Hindi, Tamil, Chinese, Japanese, Gujarati, Thai... Kwa ufupi karibia lugha zote ambazo hazina asili ya herufi za Kilatini hazina herufi kubwa na ndogo...

Na tunapozungumza hatutofautishi kati ya herufi kubwa na ndogo.



Kaka habari,umenipa muda wa kufikiria upya kuhusu lugha za awali zilizotumika kuandika Biblia.
Nitatafuta vitabu kuona kama kuna tofauti zaidi kuhusu mungu na MUNGU.
Ila katika Biblia Takatifu ukianza kuifungua tu,utakutana na neno TUNZA.Neno BWANA/BWANA lionekanapo kuandikwa kwa herufi kubwa basi ni lile jina lenye KUMHUSU mungu mweza yote au Yehova kama walivyoita Wayahudi ktk lughaya kiaramu.Sasa hapa lazima tofauti iwepo kati ya herufi kubwa na ndogo kama sivyo basi hata kwa kukoleza wino katika neno husika.
 
Mwanajamvi X-PASTER anaelekea kutumia maneno mengi ya ushawishi huku ndani mwake mmejaa ghiliba (fallacies) tupu! Maneno "MUNGU" na "mungu"/"BWANA" na "bwana" ya tofauti kwa namna yoyote ile. Neno lenye herufi kubwa linamaanisha MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI alhali 'mungu' linamaanisha miungu ambao kila mahali wametapakaa hadi ngazi ya familia. Hawa "gods" huabudiwa kwa namna ambayo haijulikani kwa wengi. Sasa mwanajamvi anapohusisha otografia ya maneno hayo na semantiki yao anakauwa hatendi haki. Labda tu atuhakikishie ikiwa yuko katika mahubiri ya kum-promote huyo "mungu" watu wengine wamkiri na kumuamini!!!!
 
Back
Top Bottom