Hivyo vitisho kamueleze Mugabe wenu MboweKwahiyo, kwa kifupi mnataka Chadema wajibu mapigo? Kwani kauli ya Tulianza na Mungu na Tunamaliza na Mungu huielewi au? Sasa subiria kitakachoanza kuonekana hapo arumeru. Taarifa za chinichini tu ni kwamba madiwani walioshindishwa kwa nguvu na ccm kupitia polisi wameanza kuogopa kujitokeza na huenda wengine wakaingia mitini kwenye zoezi la kuapishwa. Usicheze na hii kitu wewe! Kuna damu ya watu ilimwagika hapo ndugu yangu. Wacha kabisa.
Lizaboni where have you been?
Lazima uelewe kuna makamanda aina nyingi mfano....mgambo, police na wanajeshiWadau, amani iwe kwenu.
Nijuavyo mimi ni kwamba, Makamanda ni wapambanaji na watu wa shughuli kweli. Pia nafahamu wazi kuwa gwanda ni vazi la 'mtiti'. Hata hivyo, inanipa tabu kuelewa sababu ya CHADEMA kujiita makamanda na kuvaa gwanda ilhali matendo yao hayareflect jina wanalojiita na mavazi wanayovaa.
Kinachonishangaza zaidi ni kuona hata warembo wakiwemo akina Wema Sepetu nao wakijiita makamanda. Nisaidieni wadau kuoanisha haya na malalamiko wanayoendelea kutoa CHADEMA kila uchwao dhidi ya Jeshi la Polisi na CCM
Makamanda wa kudeki barabara hata james delicious nae ni kamanda wa cdmWadau, amani iwe kwenu.
Nijuavyo mimi ni kwamba, Makamanda ni wapambanaji na watu wa shughuli kweli. Pia nafahamu wazi kuwa gwanda ni vazi la 'mtiti'. Hata hivyo, inanipa tabu kuelewa sababu ya CHADEMA kujiita makamanda na kuvaa gwanda ilhali matendo yao hayareflect jina wanalojiita na mavazi wanayovaa.
Kinachonishangaza zaidi ni kuona hata warembo wakiwemo akina Wema Sepetu nao wakijiita makamanda. Nisaidieni wadau kuoanisha haya na malalamiko wanayoendelea kutoa CHADEMA kila uchwao dhidi ya Jeshi la Polisi na CCM
Hamna cha ukamanda wala nini akina Mbowe lengo lao ilikuwa biashara kuuza hayo magwanda wakiwahadaa kuwa kila kamanda awe na hayo magwanda.wamepiga hela hasa kwa mauzo ya kuuza hayo magwanda kwa makamanda hewa wa chadema.Ilikuwa ni business strategy tuHivi wanajua hata maana ya kamanda mbowe mwenyewe hajawahi kwenda hata mgambo