Ni nini tafsiri ya kesi ya Lema

Posa

Member
Nov 12, 2010
76
79
Kwa kutumia jicho la ki-layman naona kesi ya My. Lema ya kawaida sana, sio kesi ambayo Lema akipewa dhamana either atahatarisha maisha yake au ya mtu mwingine yeyote. Swali ninalojiuliza Kwa kesi ya kawaida kama hii mtuhumiwa ambaye sio mtu mdogo ni mtu mwenye dhamana anakaa ndani for almost two months, ni udhaifu wa sheria au wanasheria wanaomtetea Au ndivyo Kwa ujumla ulivyo? Na kama hii inatokea Kwa mtu kama Mh Lema vipi kwa sisi watu wa kawaida?
 
Kesi ya Lema ni nyepesi sana,isipokuwa ccm wanatamani jimbo la Arusha kwa muda mrefu sana,walikuwa wanatafuta vijisabbu ili wamdhoofishe Lema .mahakim wetu si nao ni njaa sana,mahakama zetu ni mojawapo ya sehemu zenye rushwa sana,unaweza kukuta wamepewa pesa majaji au mahakim kwenye akaunti zao,wakakubaliana kuwa kesi ya Lema watakuwa wanapiga danadana tu mpaka bc wale watesi wake waridhike.kama suala ni kutabiri kifo hata Lowasa kwenye kampeni wamemtabiria kifo watu wengi akiwemo akina Nape na Marehemu mch,Mtikila hwakuwahi kushtakiwa.kwahiyo hii ni mbwembe za wana ccm dhidi ya wapinzani
 
Wanaohatarisha amani ya watu tunao huku na wako huru!!

Hakuna kuzunguka zunguka UKWELI UNAFAHAMIKA!

MTU AKAE JELA SIKU ZOTE HIZO ETI KWA KOSA LA ....

Bora niitwe mjinga!
 
"mahakama yako
mahakimu wako
mawakili wako
majengo yako
harafu mtu ushindwe kesi? .... Nitakalotaka litakuwa tu"
hiyo ni oder mkuu hakuna wa kupindua...
 
Simple, the court today seems to be running away from its noble work "construction of the law" and some of these laws just requires literal construction, is the offense bailable yes or no, for those that are non bailable have been mentioned already.

Sasa why holding this poor mwananchi for a petty offense that can easily be granted bail?

Certainly we are just waiting the wisdom of this Highest Judicial Body in the land to try and learn as to whether we are only remain with one pillar of State..., let us wait and see..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom