johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,776
Kijiografia manispaa ya ubungo inaanzia Kigogo round about hadi Kibamba kwa maana ya Kigogo, Mburahati, Mabibo, Manzese, Ubungo, Kimara,, Mbezi, Msakuzi, Kwembe hadi Kibamba.
Meya wa manispaa ya ubungo ni mh Jacob Boniface kupitia Chadema hivyo manispaa hiyo iko chini ya chama chake.
Meya Bonny ni miongoni mwa mameya wachache sana wa upinzani ambao wamepambana bila kuyumba dhidi ya chama tawala na hatimaye atastaafu kwa heshima baada ya kutangaza kutogombea tena udiwani.
Nini siri ya mafanikio ya Chadema ubungo kutoyumbishwa na " Zoa zoa ya CCM " na hatimaye wanamaliza salama majukumu waliyokabidhiwa?
Niwatakie Juma Takatifu lenye Baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Meya wa manispaa ya ubungo ni mh Jacob Boniface kupitia Chadema hivyo manispaa hiyo iko chini ya chama chake.
Meya Bonny ni miongoni mwa mameya wachache sana wa upinzani ambao wamepambana bila kuyumba dhidi ya chama tawala na hatimaye atastaafu kwa heshima baada ya kutangaza kutogombea tena udiwani.
Nini siri ya mafanikio ya Chadema ubungo kutoyumbishwa na " Zoa zoa ya CCM " na hatimaye wanamaliza salama majukumu waliyokabidhiwa?
Niwatakie Juma Takatifu lenye Baraka.
Maendeleo hayana vyama!