Ni nini sababu ya kupendwa na wake za watu na watu wazima?

iMad

JF-Expert Member
Aug 4, 2013
1,833
742
Wakuu embu naomba tusaidiane (hasa wataalamu wa mambo ya nyota na mlango wa sita wa fahamu na mambo ya mahusiano) Inakuaje mtu kwenye maisha unakutana na kupendwa na wanawake ambao wana mambo ya aina moja tu(category flan hivi).

Mfano unakuta unapendana na

1. Wanawake ambao wamelelewa na mzazi mmoja tu(na huwa napata nao tabu sana) na mwishoe mahusiano huwa hayafanikiwi( idadi kama watano hivi)

2.Ukitoka hapo unakuta napendana au kupenda na wanawake ambao wamesha zalishwa tu au wake za watu au watu wazima (walionizidi umri)(idadi kama 6 hivi)

Hii inasababishwa na nini? hasa maana ni categories ya wasichana ambao nimekuwa nao na kunipenda sana lakini sina bahati ya kupendana na wasichana wa kawaida.

Yaani mzunguko unakuwa hapo hapo wake za watu, waliozaa au watu wazima au mtu aliyelelewa na mzazi mmoja.

NB, sitaki kuamini kwamba ni gundu na wanawake ambao wana mambo ya aina moja tu .
 
Mmh mzazi moja na mapenzi havi husiani mkuu

Yale ni maisha tu kwaiyo unataka kusema walio zaliwa na mzazi moja wanashida hawafai wote?
 
Wake za watu ni sumu.....ila hao wengine nadhani unatakiwa kujua jinsi ya kuwa handle.....yawezekana wew pia ni tatizo ndo mana unashindwa kudumu nao........
 
Mmh mzazi moja na mapenzi havi husiani mkuu

Yale ni maisha tu kwaiyo unataka kusema walio zaliwa na mzazi moja wanashida hawafai wote?

Ndio hawafai, sikulazimishi ukubaliane namimi


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Wakuu embu naomba tusaidiane(hasa wataalamu wa mambo ya nyota na mlango wa sita wa fahamu na mambo ya mahusiano). . Inakuaje mtu kwenye maisha una kutana na kupendwa na wanawake ambao wana mambo ya aina moja tu(category flan hivi)...Mfano unakuta unapendana na
1. Wanawake ambao wamelelewa na mzazi mmoja tu(na huwa napata nao tabu sana) na mwishoe mahusiano huwa hayafanikiwi( idadi kama watano hivi)
2.Ukitoka hapo unakuta napendana au kupenda na wanawake ambao wamesha zalishwa tu au wake za watu au watu wazima(walionizidi umri)(idadi kama 6 hivi)
Hii inasababishwa na nini..? hasa maana ni categories ya wasichana ambao nimekuwa nao na kunipenda sana lakini sina bahati ya kupendana na wasichana wa kawaida.. Yaani mzunguko unakuwa hapo hapo wake za watu, waliozaa au watu wazima au mtu aliyelelewa na mzazi mmoja..
NB:sitaki kuamini kwamba ni gunduna wanawake ambao wana mambo ya aina moja tu .

Wewe huoni unaitwa siafu dume nenda kamtafute siafu jike naamini mtadumu naye.
 
Hebu sema shida yako, umewachoka au unataka kubadilisha hizo sample za wanawake au unataka nini sisi tusaidie hapa??
 
Shida ni wewe mwenyewe.....mke wa mtu au aliyeenda age utamjua tu ndani ya siku mbili za mawasiliano, so kwanini uendelee kumtongoza? Sitaki kuamini kuwa wote huwa wanakufata wewe, Mwanaume ndo hutongoza hivyo katongoze wanaokufaa! Shida ni wewe na sio wao.
 
Mmh mzazi moja na mapenzi havi husiani mkuu

Yale ni maisha tu kwaiyo unataka kusema walio zaliwa na mzazi moja wanashida hawafai wote?
Sijasema hawafai wote mkuu..ila baadhi hasa waliolelewa na mama wanashida kidogo..hasa wengi hawajui au hawaoni umuhimu wa wanaume
 
Shida ni wewe mwenyewe.....mke wa mtu au aliyeenda age utamjua tu ndani ya siku mbili za mawasiliano, so kwanini uendelee kumtongoza? Sitaki kuamini kuwa wote huwa wanakufata wewe, Mwanaume ndo hutongoza hivyo katongoze wanaokufaa! Shida ni wewe na sio wao.
Inawezekana..ila kwenye kumtongoza mtu yanakuwepo mazingira kwanza ambayo yanawekwa na pande mbili..na mara zote nikiingia nakuta ni hizo category hapo
 
Back
Top Bottom