macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,771
- 39,555
http://en.m.wikipedia.org/wiki/How_Europe_Underdeveloped_Africa
Mkuu hiyo issue ya ''how Europe underdevelop Africa'' mimi sitaki kabisa kuisikia na kwa kifupi nimeshaisoma sana kuanzia sekondari mpaka chuo. Hii ni excuse ya kijinga sana na haina uhusiano wowote na uduni wa mwafrika. Kuna mataifa kibao yalipata shuruba na wengine kuuawa eg Israel lakini mpaka sasa wana maendeleo makubwa kabisa sisi tumebakia kusingizia vitu vilivyotokea miaka mingi iliyopita.