Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
Utaratibu wa kuwasha na kuzima mishumaa pamoja na ukataji wa keki umekuwa ni wakawaida kwa muda sasa. Ningelipenda kuuliza kwa watakao kuwa wana ufahamu juu ya hili suala.
Nini maana yake?
Na nani ni muhasisi?
Mpaka tarehe 1/7/2020 covid_19 itakuwa ishapotea
Nini maana yake?
Na nani ni muhasisi?
Mpaka tarehe 1/7/2020 covid_19 itakuwa ishapotea