Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,289
- 92,376
Inawezekana siko informed lakini nauliza ni nini kilichomtokea Mabere Marando ambaye alituahidi kwenye uchaguzi mkuu uliopitawa mwa 2015 angekuwa anatangaza matokeo kabla Lubuva hajayachezea?
Yuko kimya kabisa mtu huyu tangu atowe ahadi ile mpaka leo hasikiki kabisa, kulikoni?
Yuko kimya kabisa mtu huyu tangu atowe ahadi ile mpaka leo hasikiki kabisa, kulikoni?