Ni nini kimeifanya CCM kushindwa kabisa kufanya lolote juu ya Mipango Miji?

Solution yake inaanzia waizarani kulete mpango kazi ambao mpaka mwenyekiti, mtendaji na mjumbe wa kaya anafahamishwa jinsi viwanja au maneno yanavyotakiwa kuendelezwa.

Ilikuwa rahisi tuu mjumbe wa shina amuonye mangi fulani anayejenga mpaka nje ya mawe pale mabibo opposite NIT. Au aple sinza queen of sheebah lakini mjumbe na mtendaji siku hizi wamekurupuka kukusanya fedha za kibali cha ujenzi halafu wanaminya matumboni mwao. Wala hawajishughulishi kuangalia mipaka, barabara zinapata nafasi.
Sahihi kabisa. Hakuna jambo rahisi kwenye utekelezaji kama hili kwa sababu halihutaji nguvu wala fedha katika kulisimamia na kuhakikisha linafanyika vizuri.

CCM wananishangazaga sana , sijui akili zao wamepeleka wapi hawa jamaa
 
Hizo ramani zinazoonesha upana wa barabara za mitaa mita 6, nazo unaita ni ramani za miji?

Nadhani kati ya taaluma ambazo huenda zinachukua watu ambao ni very low IQ, nadhani mojawapo ni hiyo ya mipango miji.

Wanaona kabisa, mipango yao ya hovyo ilivyoharibu miji lakini wanaendelea na specifications zile zile miaka yote. Hata hivyo viramani vya hovyo, wanavificha ficha kwenye ofisi zao utadhani ni tunguli za kichawi badala ya kutawanya kwenye ofisi za ngazi za chini ili watu waweze kuzifikia kiurahisi, na yote hiyo ili kila wakiulizwa wapate kulipwa vihela kidogo kwa madai wakakutazamie kwenye ramani kama vile ni kazi ngumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasikitisha hawa watu ndugu. Kibaya zaidi wao wanakuwa kama wagawa viwanja na wala sio wapima viwanja. Kuna sehemu hadi wanapima viwanja kwenye madimbwi na mikondo ya maji. Ni ujinga mtupu
 
Jibu la kijinga kabisa.

Mimi nimetembelea nchi nyingi maskini, miongoni mwa hizo nchi, licha ya umaskini wake, wana mipangilio mizuri sana ya miji yao.

Hivi nchi kama Mali, inaizidi nini Tanzania? Mali, kwenye miji yake yote, hakuna mahali ambapo watu wanajenga kabla ya kupimwa. Sehemu zote, wapimaji wametangulia, wanaojenga wanafuata. Tanzania, wanaojenga wanatangulia, wapimaji wanafuata nyuma.

Mimi sijasomea mipango miji, nina utaalam wa hali ya juu kwenye mambo mengine pamoja na surveying, hakika nikiambiwa nisimamie mpangilio na upimaji wa makazi yote Tanzania, nitafanya vizuri zaidi maradufu ya hawa wataalam uchwara wa Tanzania.

Kutetea mpangilio wa hovyo wa makazi Tanzania, ni uwendawazimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hawa jamaa, sifa ya masikini kwao ni aishi eneo la hovyo. Hawana hata mioyo na akili ya kuwafanya watu wa vipato vyote waishi maeneo mazuri na yaliyojengwa vizuri kwa ustaraaabu. Shame!!
 
Wapuuzi tu hao maccm wanaakili za hovyo hakuna wanacjoweza fanya,huoni Rais wao anateua watu kutoka nje ya lichama lao na kuwapa madaraka au ananunua wapinzani na kuwapa ofisi anajua huko yamejaa nambulula na matokeo yake ndio haya sasa Kila kitu wamefeli hili la makazi holela kwa sababu linaonekana wazi
Kwangu mimi suala la makazi holela ndo jambo kuu linalonifanya nione Ccm ni failures.

Kipimo kikuu cha ustaaarabu wa mwanadamu sio uzuri wa nyumba au makazi aliyojenga bali ni mpangilio mzuri na mazingira na makazi anayoishi
 
CCM wao wamedhulumu mali na majengo ya watanzania. Rejea viwanja vyote vya michezo.. ukija kujibu uje ukiwa umesoma na kupitia ripoti ya Nyalali ya 1992.
 
Sasa kama viwanja vipo vya kutosha na havijaanza kutumika sawasawa kuna kitu kinaharibika kwa kuwa parking, mikutano au soko kwa muda?

Sababu matumizi hayajabadilishwa bado hivyo ni viwanja
Moja ya tabia ya watanzania ninayoichukia ni pamoja na hii ya kutetea mambo ya hovyo .

Kipi hasa kinachofanya utetee viwanja vya michezo kugeuzwa gereji?
 
102011131.jpg
 
Mleta mada umeleta mada ambayo kila siku mi najiuliza kuhusu hili la mipango miji.

Mi naishi mwanza na nikiri kabisa kwamba mji wa mwanza kwa Tanzania ndio mji unaongoza kuwa na makazi holela.

Cha ajabu sasa mkuu wa mkoa yupo, wakuu wa wilaya wapo, mkurugenzi yupo, mbunge yupo na madiwani wapo.

Yaani hpo leadership chain ipo lakini km inakuwa imepalalaizi inashindwa kutimiza majukumu yake ya msingi kbsa

Leo hii igoma machinjioni ni tandale uwanja wa fisi on the making na viongozi wapo lakini hawajali kbsa.

Nchi yetu ina changamoto nyingi Sana lakini changamoto kuu ni CCM

Tukiweza kuiondoa ccm nadhani mambo yatabadilika ikiwemo hili la ujenzi holela.
 
Mleta mada umeleta mada ambayo kila siku mi najiuliza kuhusu hili la mipango miji.

Mi naishi mwanza na nikiri kabisa kwamba mji wa mwanza kwa Tanzania ndio mji unaongoza kuwa na makazi holela.

Cha ajabu sasa mkuu wa mkoa yupo, wakuu wa wilaya wapo, mkurugenzi yupo, mbunge yupo na madiwani wapo.

Yaani hpo leadership chain ipo lakini km inakuwa imepalalaizi inashindwa kutimiza majukumu yake ya msingi kbsa

Leo hii igoma machinjioni ni tandale uwanja wa fisi on the making na viongozi wapo lakini hawajali kbsa.

Nchi yetu ina changamoto nyingi Sana lakini changamoto kuu ni CCM

Tukiweza kuiondoa ccm nadhani mambo yatabadilika ikiwemo hili la ujenzi holela.
Umenena hakika
 
Moja ya tabia ya watanzania ninayoichukia ni pamoja na hii ya kutetea mambo ya hovyo .

Kipi hasa kinachofanya utetee viwanja vya michezo kugeuzwa gereji?
Kwa akili zao hizi ndo mana hata magufuli hataki kuwachagua kuwa mawaziri. Anachagua watu wengine
 
Tuangalie pia Ardhi University ina mchango gani katika mipango miji, sababu inatoa wataalamu waliojaa theory za Urban planning, demographic forecast, population distribution.najua chuo kile cha Tabora kina mchango mkubwa maana ukienda wizarani masenior surveyers wengi walipita tabora.

Inashangaza Kariakoo iko planned lakini jangwani imeibuka kama uyoga na serikali za mitaa zipo watu wanafuga vitambi na mikia, maushungi mengi substance kichwani ya kulinda mipaka na mawe hakuna.

Kiuhalisia sehemu kama mbezi beach wangedesign an area kama zena kawawa iwe sehemu ya starehe tuu lakini sio kila nyumba fremu, pub na baa halikadhalika oysterbay chole mtaa mzima ungekuwa ni baa tuu. Sasa mpaka kule manzese nyuma ya flats za tisco kuna vibaa sijui kwa maganga sijui mangi meza.
 
Tatizo lako linaonekana sasa hata pale mbuyuni hapakustahili kujengwa sheli naona kuna sheli inaibuka sijui aliyetoa kibali aliakisi matumizi ya ardhi ya eneo lile kama ni residencial.
 
Siku zote kama chama kimoja kikitawala muda mrefu hata fikra zake hufa,, ila kama kutakuwa na badiliko mara chama hiki,mara hiki fikra zitakuwa mpya na changamfu siyo kama sasa mambo yanayofanyika sasa ni ukusanyaji wa kodi kila kukicha mara kodi hii, mara hii,, wamesahau kuna mambo mengine mengi tu siyo tu makazi holela bali miundombinu mibovu,,, kwa Tanzania hata sehemu wanayokwambia viwanja vimepimwa utakuta nyumba zipo zipo tu,,,
 
Back
Top Bottom