Ni nini kilipelekea Redio na Televisheni ya taifa kupoteza dira?

Radio ya taifa imepata challenge kubwa kutoka kwenye Radio binafsi na kwa kiasi fulani kupoteza mwelekeo kwenye ushindani

Sent using vidole vyangu!!
 
yes mkuu!
Nakubaliana na wewe,ushindani wa soko

Huo ushindani umetokana na nini?

Hao watu binafsi wana nini mpk huyu jamaa kaumizwa kiasi hiki!
Radio ya taifa imepata challenge kubwa kutoka kwenye Radio binafsi na kwa kiasi fulani kupoteza mwelekeo kwenye ushindani

Sent using vidole vyangu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ya Mjini ni tofauti sana na vijijini access ya kupata hotuba ama taarifa za habari au za Mwl Nyerere kama ulivyosema hapo ni rahis sana tofaut na sie wa huku vijijini....

Watu wa mjini hamuhitaji kusubir mpka saa mbili usiku kujua leo duniani kuna nin in a matter of seconds all the information are on hand

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly mkuu, ukiwa town unaanza kupata habari hata kabla ya media husika.
 
Dunia ya Mjini ni tofauti sana na vijijini access ya kupata hotuba ama taarifa za habari au za Mwl Nyerere kama ulivyosema hapo ni rahis sana tofaut na sie wa huku vijijini....

Watu wa mjini hamuhitaji kusubir mpka saa mbili usiku kujua leo duniani kuna nin in a matter of seconds all the information are on hand

Sent using Jamii Forums mobile app
Ook sawa sawa
Nimekuelewa umeelezea vzr sana
Naendelea kuchukua maoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry nje kidogo ya mada,
Kwaniii ule wimbo wa "kama sio juhudi zako nyerereee......na uhuru tungepata wapi.....oooh kama siooo" aliimba nani eti,?
 
Terehe 1 Julai, 2007 Radio Tanzania Dar es Salaam na televisheni ya Taifa (TVT) ziliunganishwa na kuwa Tanzania Broadcasting Corporation.

Nikikumbuka miaka hiyo TBC ilikuwa moto sana aka RADIO Tz Dzm..na wakati huo radio zilizotumiaka alimaarufu kama redio za phillps na national na panasonic na Nationalpanasonic

Achilia mbali na watangazaji waliokuwepo machachari kwa mfano:
Abou Liongo–Michezo
Ahmed Jongo–(Mpira, na mnazi wa kutupwa wa yeboyebo)
Ahmed Kipozi–Mpira
Abdallah Iddrissa Majura–Michezo
Abdallah Mlawa—Kijaruba, Ombi lako
Abdul Ngarawa -Taarifa ya Habari na Mazungumzo baada ya habari
Hassan Mkumba- matangazo ya vifo
Julius Nyaissanga–Club Raha Leo Show
Bakari Msulwa- Salam
Beni Kiko (“Benjamin Kikomongo”) jina lake halisi ni Bakari Kikoloma. – Enzi za vita ya Nduli

hata sasa kuna baadhi ya watangazaji wapo kama Flora Mwano,Gabriel Zacharia,Grace Kingarame,Elisha Elia,Urassa na yule Dada wa Michezo jina limenitoka.

Pia achilia mbali na midundo yenye bashasha iliyopo mpaka sasa kwa Mfano kwenye kipindi cha michezo(hapo mkuu wa kaya amewanyamazisha wote,huku mkipata ugali) kipindi cha Harakati + Hotuba ya Mwalimu + Jungu kuu

Mimi binafsi yangu nikiwa ndani ndani kule kijijini kuna huwa nasikiliza na kufuatilia sana hotuba ya Mwl Nyerere

#Sasa nimefanya tathimini ya juu juu bado nashindwa kuelewa kitu

-Hivi kwa miaka ya sasa kuna vijana wadogo wanafuatilia vipindi vya hii Radio na kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo historia ya Taifa? + hotuba ya Mwalimu?

-Jee!?mfumo wa vipindi na maudhui(content) ni za vijijini??? Na sio mijini?..

-Binafsi nimekuwa mdau wa kuchunguza baadhi ya mambo nikajua asilimia kubwa ya watu wa vijijini wanapenda kufuatilia hasa kwenye habari + michezo + hotuba ya Mwalimu,Jee!? Ni kwa nini vijijini na sio mijini??

-Jee!? Ni kipi kilichopelekea hiki kituo kupoteza dira na sio kama zamani? Ilikuwa kama unasubiria Habari watu wote kimya + umakini wa hali ya juu



NAWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu la msingi ni
1. Vyanzo vya habari vimeongezeka - hasa simu.
2. One - sided content.
3. Maisha magumu; mida ya siui taarifa ya habari watu wapo kwenye kete za mchina kujaribu bahati ya siku.
 
Jibu la msingi ni
1. Vyanzo vya habari vimeongezeka - hasa simu.
2. One - sided content.
3. Maisha magumu; mida ya siui taarifa ya habari watu wapo kwenye kete za mchina kujaribu bahati ya siku.
teh teh teh
Kwamba maisha magumu..ni kweli mkuu sipingi.hapo nimekupata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Terehe 1 Julai, 2007 Radio Tanzania Dar es Salaam na televisheni ya Taifa (TVT) ziliunganishwa na kuwa Tanzania Broadcasting Corporation.

Nikikumbuka miaka hiyo TBC ilikuwa moto sana aka RADIO Tz Dzm..na wakati huo radio zilizotumiaka alimaarufu kama redio za phillps na national na panasonic na Nationalpanasonic

Achilia mbali na watangazaji waliokuwepo machachari kwa mfano:
Abou Liongo–Michezo
Ahmed Jongo–(Mpira, na mnazi wa kutupwa wa yeboyebo)
Ahmed Kipozi–Mpira
Abdallah Iddrissa Majura–Michezo
Abdallah Mlawa—Kijaruba, Ombi lako
Abdul Ngarawa -Taarifa ya Habari na Mazungumzo baada ya habari
Hassan Mkumba- matangazo ya vifo
Julius Nyaissanga–Club Raha Leo Show
Bakari Msulwa- Salam
Beni Kiko (“Benjamin Kikomongo”) jina lake halisi ni Bakari Kikoloma. – Enzi za vita ya Nduli

hata sasa kuna baadhi ya watangazaji wapo kama Flora Mwano,Gabriel Zacharia,Grace Kingarame,Elisha Elia,Urassa na yule Dada wa Michezo jina limenitoka.

Pia achilia mbali na midundo yenye bashasha iliyopo mpaka sasa kwa Mfano kwenye kipindi cha michezo(hapo mkuu wa kaya amewanyamazisha wote,huku mkipata ugali) kipindi cha Harakati + Hotuba ya Mwalimu + Jungu kuu

Mimi binafsi yangu nikiwa ndani ndani kule kijijini kuna huwa nasikiliza na kufuatilia sana hotuba ya Mwl Nyerere

#Sasa nimefanya tathimini ya juu juu bado nashindwa kuelewa kitu

-Hivi kwa miaka ya sasa kuna vijana wadogo wanafuatilia vipindi vya hii Radio na kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo historia ya Taifa? + hotuba ya Mwalimu?

-Jee!?mfumo wa vipindi na maudhui(content) ni za vijijini??? Na sio mijini?..

-Binafsi nimekuwa mdau wa kuchunguza baadhi ya mambo nikajua asilimia kubwa ya watu wa vijijini wanapenda kufuatilia hasa kwenye habari + michezo + hotuba ya Mwalimu,Jee!? Ni kwa nini vijijini na sio mijini??

-Jee!? Ni kipi kilichopelekea hiki kituo kupoteza dira na sio kama zamani? Ilikuwa kama unasubiria Habari watu wote kimya + umakini wa hali ya juu



NAWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ajabu wanafikiri Mwl. Nyerere bado yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom