Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
kwani ni nini hupelekea mume wa mtu atoke na mwingine ilhali kaoa , ana familia yake tena anaheshimika kwenye jamii inayomzunguka?
Afadhali umeuliza...maana inaonekana wanawake wanachukuliwa kama ni malaika vile, wakati ni washika dau wa matatizo ya kimahusiano ya wanaume. Kama mtu anatoka nje ya ndoa na mwanaume then that is a different story. Ila kama ni mwanamke kwanini tunashangaa...tunashangaa kisa kafanya mke wa mtu kama naye siyo mwanamke,!mmmh