kama inavyofahamika kwa wengi, Ndugu Hussein Bashe ni kijana wa karibu sana na Rostam Aziz yeye ndio msimamizi wa miradi mikubwa pale Caspian na kwingineko kwa niaba ya RA, izingatiwe pia RA ndiye aliyefadhili kampeni za Bashe Nzega kwa muda mrefu.
nachojaribu kuhoji ni hatua gani Rostam ataanza kuchukua dhidi ya JK baada ya kijana wake kuondolewa kwenye uchaguzi kwa kashfa za kutokuwa raia, lakini pia suala la uraia limewahi kujitokeza kwa Rostam mwenyewe je kwa sasa hawezi kuanza kujikinga kwa namna yoyote ile ili na yeye asije ambiwa sio raia.
na je kama Rostam akianza kujikinga na kuchukua tahadhari ikizingatiwa kuwa maamuzi ya kamati kuu juu ya Bashe hayakumpendeza kabisa, huu utakuwa ndo mwisho wa uswahiba na JK, Je rostam akikosana na JK Nchi itakuwa salama?, TAFAKARI
nachojaribu kuhoji ni hatua gani Rostam ataanza kuchukua dhidi ya JK baada ya kijana wake kuondolewa kwenye uchaguzi kwa kashfa za kutokuwa raia, lakini pia suala la uraia limewahi kujitokeza kwa Rostam mwenyewe je kwa sasa hawezi kuanza kujikinga kwa namna yoyote ile ili na yeye asije ambiwa sio raia.
na je kama Rostam akianza kujikinga na kuchukua tahadhari ikizingatiwa kuwa maamuzi ya kamati kuu juu ya Bashe hayakumpendeza kabisa, huu utakuwa ndo mwisho wa uswahiba na JK, Je rostam akikosana na JK Nchi itakuwa salama?, TAFAKARI