babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,102
- 15,993
Huna haja ya kunipa pole.Mkuu pole sana. Inaonekana maumivu ni makali ila haindoi ukweli kwamba tulikuwa na raisi mwizi na muuaji.
Maumivu yangu ni kumshushia lawama zote mnazojua mtu aliyefariki.
Sidhani hata moja ni ukweli.
Muacheni apumzike huko alipo