jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Kama ndoto eti kwa mara nyingine miamba iliyokuwa ikichipuka kwa kasi kuelekea kwenye kilele cha kufanikiwa kisiasa ipo nje tena kwenye mfumo.Si Wajumbe wa baraza la mawaziri tena.Wametoswa.
Sote tunatambua sababu hasa kilicho wafanya wawe nje ya mfumo.
Kama hali hiyo itaendelea hivyo kwa wao kuendelea kuwa mbali na mfumo ilhali ndoto zao na matamanio yao hayakuwa hayo je ni nini hatma ya wanaume hao waliopata ajali ya kisiasa ya kujitakia?!
Ni kweli Magufuli aliwasamehe kwa dhati?!
Na kama aliwasamehe kwa dhati kwa nini japo mmojawao hakumteua kuwa sehemu ya baraza lake la mawaziri?
NI IPI HATIMA YA HAO?!
Sote tunatambua sababu hasa kilicho wafanya wawe nje ya mfumo.
Kama hali hiyo itaendelea hivyo kwa wao kuendelea kuwa mbali na mfumo ilhali ndoto zao na matamanio yao hayakuwa hayo je ni nini hatma ya wanaume hao waliopata ajali ya kisiasa ya kujitakia?!
Ni kweli Magufuli aliwasamehe kwa dhati?!
Na kama aliwasamehe kwa dhati kwa nini japo mmojawao hakumteua kuwa sehemu ya baraza lake la mawaziri?
NI IPI HATIMA YA HAO?!