Wajuzi wa sheria naomba kufahamishwa endapo tangazo la mwenyekiti wa ZEC litaendelea kama alivyolitoa, yaani uchaguzi kufutwa inamaana wapiga kura wataandikishwa upya au watabaki kama walivyo katika daftari la wapiga kura? Je haki ya mpiga kura katika mazingira haya haki mpiga kura inalindwaje?