Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
- Thread starter
- #121
Tai ikamwambia boss mimi kamwe siwezi kukutoa uhai, nilikuwa nakupendezesha kila siku.. Acha nife mimi wewe upone.. Kisha tai ikakatika.. Lakini kamba haikuwa na huruma wala tafakuri ya kiutuUkisikiliza maelezo ya polisi, kama una akili zilizotimia, utagundua kabisa kwamba katibu aliuawa lakini polisi wanaficha ukweli kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.