Ni nini hatima ya kanisa la Feel free?

Ukisikiliza maelezo ya polisi, kama una akili zilizotimia, utagundua kabisa kwamba katibu aliuawa lakini polisi wanaficha ukweli kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Tai ikamwambia boss mimi kamwe siwezi kukutoa uhai, nilikuwa nakupendezesha kila siku.. Acha nife mimi wewe upone.. Kisha tai ikakatika.. Lakini kamba haikuwa na huruma wala tafakuri ya kiutu
 
Ni kweli . Wahubiri wamesahau kuwa Mwanaume ndiye Mfano Wa Mungu hapa Duniani. Ndio MAANA ya kuwa baba na Mlezi .
Wanaume Kwa maelfu ni waadilifu sana Lakini hawayumbishwi na mihamko ya kimitandao. Wanawake wengi ni Wazinzi waliozaa Nje ya ndo hivyo kujikuta wakiwa waongo Maisha Yao Yote.
Mwanamke aliyezaa Nje ya ndoa mara zote Inabidi awe Mwongo na kumdanganya mumewe kuwa MTOTO ni Wa kwake na kamwe hawezi kutubu na kusema ukweli kuwa huyu MTOTO Mmoja au Wawili SIO Wa kwako . Nilikosea kutoka Nje na kuzaa. Hiyo dhambi inabaki Moyoni mwake maisha yake Yote.
Pili wanawake wengi wamewadanganya Watoto wao na kuwakosesha Haki Yao ya kuwajua baba zao halisi kibiologia na kuwaacha Watoto wakiwiishi na baba bandia Maisha Yao Yote. Kuna wanawake waliozaa mpaka na baba zao ,wajomba zao na kaka zao Tena wakiwa Ndani ya ndoa. Hao ndio wanaposikia Makanisa ya kuwachamba wanaume wanakimbilia huko Ili kujipa uhalali Wa dhambi na dhamira zao zisizoisha kuwahukumu kwenye mioyo Yao.

Vitabu vya Dini vyote vimesimama kidete kipinga uzinzi na Wazinzi hasa wanawake wamewekewa Sheria Kali sana kwenye suala la zinaa Kwa Sababu Mungu aliona Athari kubwa ya zinaa Kwa mwanamke. Wayahudi mwanamke mzinifu alipigwa Kwa mawe na kuawa lengo lilikua kiwaepusha na tamaa ya kutoka Nje na kwende kuzaa na mataifa mengine yaliyokuwa yamejaa vinasaba vya kishetani na kichawi Kwa wakati Huo ambapo walizaa Watoto mashoga, wachawi na wasiompenda Mungu kama KAINI. Wanawake Wakati Huo walivutiwa na starehe na anasa za watu Wa mataifa mengine ndio MAANA MKE Wa Lutu aligeuka nyuma Ili arudi kwenye starehe za Sodoma na Gomora Yaani Mbele na nyuma.
Mungu aliwakataza wasigeuke nyuma Kwa MAANA kuwa wasijaribu Kutia Nia ya kurudi Kwenye Nchi hiyo iliyokuwa imejaa anasa za Kila aina.
Mwanamke alishindwa kutii. Akageuka Nyuma Ili arudi kwenye starehe.
Ni wazi kuwa palikua na mabishiano makubwa na ugomvi njiani kati ya Lutu na MKE wake. Mkewe akidhani kuwa Amri ya Mungu ya kutoka Sodoma na kwenda Nchi nyingine wasio ijua kwenda kuanza Maisha upya haikuwa Sawa. Aliona ananyimwa Haki ya kuishi anapotaka. Aliona mumewe Ana mambo ya kishamba na anaitia familia kwenye umaskini. Huenda WALIKUA wameshajenga na kumiliki NYUMBA Yao Halafu Mume anakuja anasema Mungu ametumuru tutoke hapa twende Tukaishi sehemu nyingine tuanze Maisha upya.
Ukaidi Wa mwanamke kwenye ndoa ni Hatari mno na Kila ulipotokea palitokea mabadiliko makubwa yaliyoiathiri jamii nzima kama Mume ataridhia kufuatana na uasi Wa mwanamke.
Hebu fikiria kama Lutu Naye angeamua kukaidi Amri ya Mungu na kusema ngoja nirudi kumfuata MKE wangu mana huenda MKE wangu amepata maono makubwa zaidi ya kurudi kwenda kuwahuburi Watu Wa Sodoma na Gomora.
Lutu alikua imara na anaamua kuendelea Mbele bila kugeuka nyuma kumfuata mkewe

Kwenye Biblia Kuna visa vingi ambavyo Wanawake wameleta matatizo makubwa kwenye jamii nzima kutokana na tamaa zao. Yusuf angejaribu kuzini na MKE Wa Mfalme leo Hii tusingeongea habari za uadilifu wake. Mpaka alikubali kufungwa Gerezani lakini hakutaka kutembea na MKE Wa Mfalme.

Lakini pia Kuna kisa Cha Mfalme Daudi na MKE Wa Uria Askari wake mkuu kabisa Aliyekua vitani. MKE Wa Uría alikubali kutembea na Mfalme wakati mumewe alipokua vitani .
Alipopata ujauzito wakatengeneza njama ya kumbambikia Mumewe Ile mimba Ili Kitanda kisizae HARAMU lakini Mungu akataka kuweka wazi ule uovu wao. Mfalme alimwita Uría arudi Nyumbani Kwa dharura. Uría akarudi akamwambia aende akapumzike Nyumbani kwake na Mkewe. Cha ajabu MTU Aliyekua vitani Siku nyingi lakini aligoma kwenda nyumbani kulala. Akasema siwezi kwenda kupumzika Nyumbani Wakati Nchi yangu IPO vitani na askari wenzangu nimewaacha wanaendelea kupambana.
Alijisikia Fahari kupigania Nchi yake na vizazi vyao zaidi KULIKO kwenda kulala na mkewe. Huyu ni mwanamke shujaa sana asiyetajwa na watu Wa Dini. Mwanaume mtiifu Kwa Mungu na Kwa Taifa na jamii nzima .
Njama ya Daudi na mchepuko wake iliposhindikana basi walipanga njama ya kumuua Mumewe.
Hivyo Mfalme Daudi alitoa Amri Uría awekwe kwenye kikosi Cha Mbele vitani. Hiko aliuawa na kuiacha familia yake.
Huo uovu Wa mwanamke kwenye ndoa Wahubiri wengi hawataji zaidi ya kumlaumu wanaume bila Huku wakiwasifia wanawake wakati hakuna Hata Mfano Mmoja Wa mwanamke aliyeweza kuishinda dhambi ya Zinaa Nje ya Sheria Kali ya Kukaa mbali na wanaume na kujisitiri.


Wanawake wengi hasa walioko kwenye makanisa hayo hawajui Mila za wanadamu Wala historia ya masuala ya kidini zaidi ya kuvaa nguo fupi na mabega wazi na kucheza miziki Kanisani. Hawajui kuwa shatani anatawala Mwili zaidi KULIKO roho.
Wengi hawasomi Biblia zaidi ya kusema "Mchungaji Kasema" .

Wanawake wengi wamepotoshwa zaidi kutokana na kufuata zaidi Mila za Kizungu KULIKO Neno la Mungu.

Kwa waislamu kumdanganya MTOTO baba yake ni dhambi.
🤝
 
Perfectly right! Umeandika point tupu with high mental faculty observation. Lakini kwa vile 99.999999999999999999999999999999% ya waumini wa makanisa hayo ni wenye MATATIZO YA AFYA YA AKILI, basi hakuna katika yote uliyoyasema (ingawa kwa hali halisi umesema mantiki tupu)litakalo athiri kanisa lake maana waumini wake wote ni MATAAHIRA, WANA MATATIZO YA AFYA YA AKILI OF THE HIGHEST DEGREE!
Retired but not tired 😁😁😁😁😁
 
Much respect Sana mkuuu kwa majibu yako ambayo na mm nilidhani umekazania masanja kumbee una hoja zako nzito Sina Cha kuongeza nasubiria utekelezaji wa vyombo vya serekali naomba unitag siku jeshi likitoa taarifa kamili
Hii ndio JF.Naipenda JF😁😁😁😁😁😁
 
Kihalali MASANJA anapaswa kumlea mjane Wa Katibu.
Kama kweli amemsamehe mkewe basi aangalie Upande Wa Pili Wa Yule mwanamke aliyebaki mjane chanzo kikiwa ni MKE wake anayempenda sana. Sasa mkewe amesanabisha MKE Wa MTU amebaki mjane. MASANJA amchukue na kumfanya MKE wake Wa Pili au amlee kama mjane Ili asikose uelekeo na kumlilia Mungu na Mungu akajibu mapigo .
Hata Daudi alimchukukua MKE Wa Uría Baada ya Uría kufariki Kwa njama yake.
FFC inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja?
 
FFC inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja?
Hakuna kwere mana ni ni kiasi Cha kufeel free TU.
Kama mtu ana feel free kunyooka na mke wa mtu na mume wa mtu why iwe nongwa kuoa Mjane Tena muumini na mke wa mwasisi wa kusimamia vizuri mapato ya kanisa.
Sasa Mjane Binti mdogo kabisa Kwa Nini aachwe ahangaike mitaani wakati ni free Church.?
 
Hatima ya kanisa la jisikie huru limo mikononi mwa suluhu ya kiroho kama Masanja mkandamizaji na familia yake hawana vinasaba na damu ya mtendaji wake katibu wake! Damu ya mtu hunuka., na harufu yake hutiwa chaji na roho iliyomo ndani yake... Roho ni kitu kisichokufa hivyo huibeba damu yake kutengeneza mizania ya haki..
 
Back
Top Bottom