James alamba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 216
- 106
Watu wengi uwa wanatoa sababu zao kuhusu ukosekanaji wa mvua katika baadhi ya maeneo nchini tanzania ila nimekuja gundua kuwa uharibu wa misitu umechangia asilimia kubwa ukosekanaji wa mvua na baadae tutakuja kumbwa na njaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app