Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,510
- 4,216
Labda Kicheche kwa kichehe.Akitaka kuoa hata uwe kicheche atakuoa tu
Be urself..enjoy maisha yako
Labda Kicheche kwa kichehe.Akitaka kuoa hata uwe kicheche atakuoa tu
Be urself..enjoy maisha yako
Tabia njema, unyenyekevu kwa mmeo, utii,jua nafasi yako kama mwanamke, binafsi mke wangu wakati tunatongozona sikuwahi kuwaza nikishapata ningedumu nae hata week 2 lakini nilibadili gia njiani nikaamua kuoa kabisa baada ya kuona ana hivyo vyote niendelee kuangaika natafuta nini???Wakuu kwema
Moja kwa moja kwenye mada.
Ikiwa kumpa ngono haimfanyi mwanaume kukuoa, wala kumzalia mwana pia haimfanyi mwanaume kukuoa je, nini hasa itapelekea mwanaume ulie nae akupe heshima ya ndoa?
Maana wengine wanabadili hadi dini ili kumridhisha mwanaume lakini bado haolewi. Hata ukijitahidi kuwa mwenye heshima au tabia njema utakuta anaenda oa kwingine. Au ndoa ni fate?
Karibuni kwa ushauri
am better here
Ruge huyo alikuwa na Zamaradi...mpaka kaolewa ndo analia hadi makamasi wakati alikuwa kila siku anasema atapeleka barua atapeleka barua. Kwamba alikuwa hajafika umri sahihi? Alikuwa Zama alikuwa hajiheshimu na kumheshimu?Unadhani huko kufeel utayari wa kutaka kuoa unatoka wapi?? Usiongee mambo usiyoyafahamu! Hakuna Mwanaume mjinga ambaye atakutana na mwanamke sahihi akiwa katika umri na wakati sahihi alafu aendeleze uplayer! Hata kama hakuwa na plan hiyo ila akikutana na mwanamke anayemheshimu na kujiheshimu mwenye hofu ya Mungu Mwaminifu anayemsaidia katika harakati za maisha ni vichocheo tosha kumfanya mwanaume yeyote aanze kuja kwenye line.