Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda ni binadamu wapuuzi sana wanajionaga wanajua alafu ukiwatikisa ni wepesi kama CCM bila police.Bandiko teyari nisaidieni nafanya research ya chuo
Anazungumzia makondakta sio Makonda RC.Mtu anunua gari kwa ajili ya biashara, amkabidhi dereva na konda kwa makubaliano ya kuleta hesabu kiasi fulani, leo kwa ubabe wako unataka wanafunzi wabebwa wakati bei yao ni ndogo? Wanafunzi wengine ni wakorofi, wanajaa kwenye gari wanakaa kwenye seat, watu wazima wakipakia hawawapi nafasi, ukimwambia wampishe vurugu tupu.
Kuondoa ili tatizo, Makonda anunue magari ya wanafunzi ili aone kama hiyo nauli inaweza kuendesha hiyo biashara.
Anazungumzia makondakta sio Makonda RC.
nimekumissAiseeee
Mimi...?nimekumiss
kote kote nuksi tu maana wanafunzi wakiingia kwenye daladala wanafujo hatari, alafu konda nae anatazama hesabu hapo patamu.Bandiko teyari nisaidieni nafanya research ya chuo
watu wamevurugwa wanapiga Makonda RC kama kawa.Anazungumzia makondakta sio Makonda RC.