Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Ebana kuna ndugu yangu anampenda sana mwanadada fulani lakini kila siku zinavyozidi kwenda mbele amegundua mahusiano yako yapo ICU muda wowote yanaweza kuvunjika.
Kila akimcheki mwanamke wake anaona sio yule anamjua wakigombana kidogo mwanamke huleta hoja za kama vipi tuachane, Mara kama umechoka niambie Mara nimeshakuchoka ujue ivi sasa mshikaji yupo stressed sana kapoteza sana furaha yake kabisa nyumba anaiona ya uchungu,
Hapa nilipo ameniomba ushauli ni cha kufanya mahusiano yake yanaelekea ukingoni
Kila akimcheki mwanamke wake anaona sio yule anamjua wakigombana kidogo mwanamke huleta hoja za kama vipi tuachane, Mara kama umechoka niambie Mara nimeshakuchoka ujue ivi sasa mshikaji yupo stressed sana kapoteza sana furaha yake kabisa nyumba anaiona ya uchungu,
Hapa nilipo ameniomba ushauli ni cha kufanya mahusiano yake yanaelekea ukingoni