mtu watu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,123
- 1,616
Dadeki! Inabidi ukapimwe ubongo wewe...Mimi nina my friend wa kike nampenda sana siwezi kumtaka wala kumlala hata tukae kitandani uchi, sababu najua mimi na yeye tutafanya makubwa tukiwa marafiki kuliko tukiwa katika kufanya mapenzi, I’m sure tukivuana chupi tutapoteza strong friendship
Mimi mbona sio rafiki yako halafu unanibania?Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna rafiki angu wa kiume ni rafiki close kabisa yani yule crayz friend alikuwa anakuja kulala kwangu kila ijumaa anaondoka jpili,na mimi hivyo hivyo yani tunapeana tu zamu ijumaa hii kwangu ijumaa hii kwako,yani mpka mpenzi wake walikuwa wanagombana kwa ajili yangu afu mimi tena ndo nakuwa msuluhishi,kuna siku usiku tumelala ghafla kavua tukaanza kukumbatiana hatimaye tukavunja amri ya sita,asubuhi palipokucha kila mtu anasema sorry bahati mbaya,kwahiyo kwetu hiyo ilikuwa ni one night stand,japo baada ya hapo aliendelea kuja kila ijumaa na tulikuwa hatufanyi chochote,tuliacha hiyo tabia ya yeye kuja kulala kwangu nilivyopata mpenzi,na hata urafiki ulipungua,sahizi yeye yupo zake uk,
Hiyo inaitwa frendzone
Sent using Jamii Forums mobile app