Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,813
- 59,304
Haipiti wiki bila kusikia jinsi wanawake tulivyo viumbe vya ajabu!!Hatueleweki...tunasema hili tukimaanisha lile...tunafanya hili wakati tunataka lile, yani hatuna moja.
Ila ukweli ni kwamba linapokuja swala la mapenzi na mahusiano WANAUME ndio wasioeleweka.Unakuta mtu anakupenda ila matendo yake hayaonyeshi kabisa hayo....hamna kuonyesha kujali wala nini!Na sio kwamba hataki ila hajui jinsi au umuhimu wakufanya hivyo.Hapo hujakutana na asiyekupenda ila mwenye matendo yanayoashiria hivyo.
Kusema ukweli ni rahisi sana kugundua kama mwanamke(wengi sio wote...wengine ni wasanii) anakupenda/kukujali kweli maana ni ngumu kwa mwanamke kuficha/kutokuonyesha hisia zake za ukweli mkiwa tayari kwenye mahusiano!Kwahiyo kina kaka kama unampenda mtu jitahidini kuonyesha kwa uwazi maana ni rahisi sana kuwasoma VISIVYO.....kumbuka IF YOU ARE GOOD TO US, WE WILL BE THE BEST THING THAT EVER HAPPENED TO YOU.:hug:TUNAWAPENDA SANA!!!
Ila ukweli ni kwamba linapokuja swala la mapenzi na mahusiano WANAUME ndio wasioeleweka.Unakuta mtu anakupenda ila matendo yake hayaonyeshi kabisa hayo....hamna kuonyesha kujali wala nini!Na sio kwamba hataki ila hajui jinsi au umuhimu wakufanya hivyo.Hapo hujakutana na asiyekupenda ila mwenye matendo yanayoashiria hivyo.
Kusema ukweli ni rahisi sana kugundua kama mwanamke(wengi sio wote...wengine ni wasanii) anakupenda/kukujali kweli maana ni ngumu kwa mwanamke kuficha/kutokuonyesha hisia zake za ukweli mkiwa tayari kwenye mahusiano!Kwahiyo kina kaka kama unampenda mtu jitahidini kuonyesha kwa uwazi maana ni rahisi sana kuwasoma VISIVYO.....kumbuka IF YOU ARE GOOD TO US, WE WILL BE THE BEST THING THAT EVER HAPPENED TO YOU.:hug:TUNAWAPENDA SANA!!!