Ni ngumu kupata mtoto

Habarini,natumaini ni wazima.
Ngoja niende kwenye pointi

Ni hvi
Inasemekana kama wazazi wako hawakuwahi kuwa na mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana na ww kukosa mtoto.

Cc Heaven Sent Nifah
Sina hakika na hiyo imani yako ingawa swali lako hujaeleweka anyway kama unamuamini Mungu utajua kabisa kila mtu na kizazi chake alicho umbiwa na Mungu wala sivyo unavofikilia wew je ulishajiuliza kwenye familia hakujawahi kuwa na na mtu mwenye ulemavu wa ngozi or mapacha lakni watoto wakaja zaa mapacha?? Usikalili
 
Sasa hao wazazi wamenipataje kama hawakuwahi kuwa na mtoto?
18879678_102465283686205_2815681422822473728_n.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom