Ni ngumu kufikia levo ya Vita vya Ufisadi kama Asia

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,486
8,704
Ukitaka kujua Vita vya Ufisadi vinavyo Piganwa angalia nchi kama China, Korea, Indonesia, Thailand, Malaysia na kwingineko.

Vita vya Ufisadi Tanzania ni kiini macho cha hali ya juu sana, ukiangakia nchi za Asia wanavyo dili na vita vya Ufisadi utaona kabisa huku tunafanya mzaha.

Watu wanapiga pesa wakijua kuna options mbili au tatu. Wanajua wakaikamatwa wataambiwa wazirejeshe na waombe radhi hata kwa Raisi, au watafanya kila njia kumfurahisha mtukufu ili wasamehewe.

Asia hakuna Optinal ya kuomba msamaha kwenye Ufisadi nchi kama China unapigwa Kitanzi na nchi nyingine wana vifungo tofauti tofauti.

Angalia nchi kama Korea wanaweza hata kumfunga Mkurugenzi wa Samsung.

Ni sasa na kusema mtu kama Mo afungwe Tanzania kwa Ufisadi kitu ambacho hakipo.

Wengine wako Mahabusu hadi leo na upelelezi haujakamilika.

Nawashangaa sana wanao sema kuna Vita vya Ufisadi nchi hii.

Ni wajinga tu wanao amini Magufuri anapigana Vita vya Ufisadi Tanzania hii.
 
Sio ufisadi tu hata kwenye madawa ya kulevya ni usanii mtupu..we kweli mbowe yule wa kuachwa hivihivi asitaje mtandao wa wauza unga akati ye ndo alikuwa fatherhouse wa chimbo la billicanas
 
... tunabadili lugha; sheria zote zinaandikwa kwa Kiswahili. Lengo ni kufikia maendeleo ya China ambao hawatumii lugha za kibeberu. Na sisi tunapita mule mule kwa "marafiki" zetu China.
 
Hapa Tanzania hakuna vita vya ufisadi, bali kuna vita dhidi ya matumizi ya neno ufisadi.
 
Sio ufisadi tu hata kwenye madawa ya kulevya ni usanii mtupu..we kweli mbowe yule wa kuachwa hivihivi asitaje mtandao wa wauza unga akati ye ndo alikuwa fatherhouse wa chimbo la billicanas
Naona umetia siasa. Sorry mm si shabiki wasiasa..wala siko upande wa mtu yoyote.
Lakin for a time sasa.. mbowe kahusishwa na ufisadi, sijui anauza unga.. sijui mbowe hivi..

Mbona hakamatwi na kufunguliwa mashtaka?

Miaka yote hivi ana roam uraiani free.. kama mna ushahidi fungueni kesi.. sio mnaimba tu.
 
... tunabadili lugha; sheria zote zinaandikwa kwa Kiswahili. Lengo ni kufikia maendeleo ya China ambao hawatumii lugha za kibeberu. Na sisi tunapita mule mule kwa "marafiki" zetu China.
Hata wabadalishe ziwe kisukuma. Sheria ni ile ile. Labda zitungwe zingine. Kingereza sio kisingizio cha ubutu wa sheria.
 
Sio ufisadi tu hata kwenye madawa ya kulevya ni usanii mtupu..we kweli mbowe yule wa kuachwa hivihivi asitaje mtandao wa wauza unga akati ye ndo alikuwa fatherhouse wa chimbo la billicanas
Aiseee
 
Back
Top Bottom