1.Sitakuacha love,labda uniache wewe (nikimkumbuka hadi chozi linanshuka)
2.I love looking at u all the time,i have finally met my baby's mama'...(biggest liar of all times)
Depends on the angle of 'reference'...
Uchaganiiiiiiiiiiikwamba hawezi kuoa kabila flan hapo kashanigaragaza nimechoka
Yaaani yule binti alivyokuwa anaongea kama chiriku hata sikumbuki kwa kweli maana aliongea mengi ya kuniumiza na na mengine kufurahisha. Nitarudi nikikumbuka
"Hata hivyo k yako ni tamu sana"
Uchaganiiiiiiiiiii
Mada nzuri sana, nmezisoma comments zote!
Mmmh bnafsi hata sijui niandike lipi maana nmepitia mengi lakini si makubwa,nakumbuka gers wangu km watatu hivi walkuwa wanapenda sna kunambia S seriuz hutapata mwanamke anayekupenda na kukucare km mie!
honey, ukiishiwa hela au ukapoteza kibarua, itabidi unisamehe tu, kwani huwa sipati nyege nikiwa na mwanaume ambaye hana kitu.
Hii mada ni tamuuuu,hurudisha hisia nyuma.
Kwa Mimi niliepitia mahusiano lukukiiiii sijui hata niseme la yupi.
Hichi nacho kipaji kuachana kila mwaka eti tumeshindwana lol.
Ngoja nizidi kumsubiri Mr perfect mie, nacheka km mazuri vile.
Yule tuliachana eti oohh ana michepuko mingi.
Huyu nae bahili sana.
Mwingine siwezi msamehe amenikosea sana,mmmhh Mimi Sina makosa hapo Mrs clean,
Mwingine hayuko romantic jamanii Kama nimejiroga vile.
Shkamoo mapenzi....!!