Ni ndoto tu.

Meritta

JF-Expert Member
Apr 26, 2011
1,303
292
Hi wana jf,
mi mwenzenu mara kwa mara huwa najiuliza ivi ikatokea kuwa aya maisha uliopo sasa ni ndoto tu na wewe kiualisia ni mtoto wa miaka mitano umelala ndo umeota maisha ulionayo sasa kama ww ni doctor,mwalimu,mwanachuo,polisi,mkabaji, mpigadebe nk. yote ni ndoto tu na ww ndo unashtuka toka usingizini unajikuta bado upo miaka mitano je utataman maisha yangeendelea hivyo au ungeshukuru kuwa ni ndoto tu ili urekebishe baadhi ya makosa uliyoyafanya kipindi cha maisha ya ndotoni.....
 
Inategemea umeota nini
Mi kuna kipindi niliota nipo na dada angu tunaongea.
Mara dada akaenda ktk droo akavuta dawa kama za aina 3 tofauti ili ameze
Sasa wakati anaenda ktk friji achukue maji, mi nikavizia nikachomoa dawa fulani nilizoona zinafanana na dawa za kichwa then nikameza.

Baada ya nusu saa nikaanza kujisikia ovyo ovyo. Ikabidi nimuulize dada kiusanii zile dawa zilikuwa za kutibu nini ??
Yeye akanijibu hazinihusu, niziache. Nikazidi kumbembeleza aniambie akaniuliza "unataka kumeza ??"
Nikamjibu nataka nijue tu ili siku nikiumwa nikazinunue.
Akacheeeeeka, halafu akajibu "HIVI NA WEWE UTAKUJA KUPATA MIMBA???"

Sasa unafikiri nitapenda au nishukuru kuendelea na ndoto kama hiyo ya kumeza vidonge vya mimba???
 
Hi wana jf,
mi mwenzenu mara kwa mara huwa najiuliza ivi ikatokea kuwa aya maisha uliopo sasa ni ndoto tu na wewe kiualisia ni mtoto wa miaka mitano umelala ndo umeota maisha ulionayo sasa kama ww ni doctor,mwalimu,mwanachuo,polisi,mkabaji, mpigadebe nk. yote ni ndoto tu na ww ndo unashtuka toka usingizini unajikuta bado upo miaka mitano je utataman maisha yangeendelea hivyo au ungeshukuru kuwa ni ndoto tu ili urekebishe baadhi ya makosa uliyoyafanya kipindi cha maisha ya ndotoni.....

Hii unayoongelea pia ni ndoto.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hahaha!nilikuwa ndotoni,,hapa nimezinduka baada ya kukukosa muda nakuhs nina malaria nahtaji tiba
Amin nakwambia umepona! fumba macho sekunde kadhaa ukiona mtu kavaa suti jeupe kwenye imagination yako ujue ndo mimi. Sasa ulikuwa wapi? mwenzio niligoma kukoga wiki nzima, kuonesha msisitizo wa kukukosa.
 
Inategemea umeota nini
Mi kuna kipindi niliota nipo na dada angu tunaongea.
Mara dada akaenda ktk droo akavuta dawa kama za aina 3 tofauti ili ameze
Sasa wakati anaenda ktk friji achukue maji, mi nikavizia nikachomoa dawa fulani nilizoona zinafanana na dawa za kichwa then nikameza.

Baada ya nusu saa nikaanza kujisikia ovyo ovyo. Ikabidi nimuulize dada kiusanii zile dawa zilikuwa za kutibu nini ??
Yeye akanijibu hazinihusu, niziache. Nikazidi kumbembeleza aniambie akaniuliza "unataka kumeza ??"
Nikamjibu nataka nijue tu ili siku nikiumwa nikazinunue.
Akacheeeeeka, halafu akajibu "HIVI NA WEWE UTAKUJA KUPATA MIMBA???"

Sasa unafikiri nitapenda au nishukuru kuendelea na ndoto kama hiyo ya kumeza vidonge vya mimba???

We ndoto yako naona ina makubwa zaidi.
 
Kwanza ningejawa na furaha kubwa maana ningekuwa mtoto mdogo, ila ndoto nilizoota zimenikomaza akili mpaka ikawa kama ya mtu mzima......maendeleo yangekuja haraka kwangu
 
Kwanza ningejawa na furaha kubwa maana ningekuwa mtoto mdogo, ila ndoto nilizoota zimenikomaza akili mpaka ikawa kama ya mtu mzima......maendeleo yangekuja haraka kwangu

Itaboa kweli kama umeota umepata maendeleo ya haraka na umefanikiwa kimaisha ila unakuja kugundua kuwa ni ndoto.
 
Kwanza ningejawa na furaha kubwa maana ningekuwa mtoto mdogo, ila ndoto nilizoota zimenikomaza akili mpaka ikawa kama ya mtu mzima......maendeleo yangekuja haraka kwangu

Itaboa kweli ikiwa utaota umepata maendeleo ya haraka na umefanikiwa kimaisha ila unakuja kugundua kuwa yote ni ndoto tu.
 
Kuna vitu ningeshukuru kuwa ndoto; lakini vingine ningeumia; mf ningeumia kuwa mtoto wangu nimpendae ambaye is the best thing that has happened to me is just a dream! N honestly nikipima uzito; ningeumia kuwa it is just a dream; kwa maneno mengine; l am happy the way l am and l thank God for that!
 
"Ma'swagga"
Yaani nimefurahi sana kuona hii sred, sababu mara kadhaa nimewahi kujiuliza hicho kitu.
Kuna circumstances katika maisha ziwe nzuri au mbaya unaweza kutamani hicho kitu kiwe ndoto tu,
Yaani kama ni kizuri, unatamani ndoto isiishe na kama mbaya unatamani iwe ndoto ili urudinyuma urekebishe.
Ila vyovyote vile, nakumbuka wimbo wa "Faith Evans" unaitwa "Again"
Nadhani hata nikishtuka nikajikuta ndio ninamiaka 5, kila kitu nitafanya hivihivi tu sababu kwa kufanya hivi ndio kumenifanya niwe hivi nilivyosasa, ambapo bado ninamengi ya kujivunia na tayari nina mengi ya kujifunza..... kwamba siwezi kuufikia u-mr perfect.
Hahahahaha Ma'swagga.... I'll do it "again" shosti.​
 
Hi wana jf,
mi mwenzenu mara kwa mara huwa najiuliza ivi ikatokea kuwa aya maisha uliopo sasa ni ndoto tu na wewe kiualisia ni mtoto wa miaka mitano umelala ndo umeota maisha ulionayo sasa kama ww ni doctor,mwalimu,mwanachuo,polisi,mkabaji, mpigadebe nk. yote ni ndoto tu na ww ndo unashtuka toka usingizini unajikuta bado upo miaka mitano je utataman maisha yangeendelea hivyo au ungeshukuru kuwa ni ndoto tu ili urekebishe baadhi ya makosa uliyoyafanya kipindi cha maisha ya ndotoni.....

Another BUJIBUJI
 
Umeangalia movie iitwayo INCEPTION? Directed by Christopher Nolan Starring Leonardo DiCaprio, Joseph Gordon-Levitt, Ellen Page.
Dont worry, unaota ndoto ndani ya ndoto,...enjoy it!
 
ikiwa ni ndoto na narudi kwenye mwaka wa 5 kama ndio hivyo basi mpaka sasa Nyerere Raisi
 
Back
Top Bottom