Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
Hi wana jf,
mi mwenzenu mara kwa mara huwa najiuliza ivi ikatokea kuwa aya maisha uliopo sasa ni ndoto tu na wewe kiualisia ni mtoto wa miaka mitano umelala ndo umeota maisha ulionayo sasa kama ww ni doctor,mwalimu,mwanachuo,polisi,mkabaji, mpigadebe nk. yote ni ndoto tu na ww ndo unashtuka toka usingizini unajikuta bado upo miaka mitano je utataman maisha yangeendelea hivyo au ungeshukuru kuwa ni ndoto tu ili urekebishe baadhi ya makosa uliyoyafanya kipindi cha maisha ya ndotoni.....
mi mwenzenu mara kwa mara huwa najiuliza ivi ikatokea kuwa aya maisha uliopo sasa ni ndoto tu na wewe kiualisia ni mtoto wa miaka mitano umelala ndo umeota maisha ulionayo sasa kama ww ni doctor,mwalimu,mwanachuo,polisi,mkabaji, mpigadebe nk. yote ni ndoto tu na ww ndo unashtuka toka usingizini unajikuta bado upo miaka mitano je utataman maisha yangeendelea hivyo au ungeshukuru kuwa ni ndoto tu ili urekebishe baadhi ya makosa uliyoyafanya kipindi cha maisha ya ndotoni.....