Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Nitataja baadhi ya sababu zinazotufanya Waafrika weusi tuwe nyuma
kwa kila kitu..
na wewe unaweza ukaongezea zako and i dont mean all but most of us (95%)
1-Ni waoga na hatuna ujasiri.
2-Tunapenda sana starehe,kucheza ngoma na kubana pua.
3-Dhamira zetu haziko katika ukombozi wa dhati, endapo tutaandamana,
target yetu kubwa itakuwa ni kuiba na kudhuriana kati yetu.
4-Tunapenda sana fitina, majungu na kujipendekeza.
5-.................
kwa kila kitu..
na wewe unaweza ukaongezea zako and i dont mean all but most of us (95%)
1-Ni waoga na hatuna ujasiri.
2-Tunapenda sana starehe,kucheza ngoma na kubana pua.
3-Dhamira zetu haziko katika ukombozi wa dhati, endapo tutaandamana,
target yetu kubwa itakuwa ni kuiba na kudhuriana kati yetu.
4-Tunapenda sana fitina, majungu na kujipendekeza.
5-.................