Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Tanzania kila sekta kuna maendeleo.kuna uwekezaji mkubwa
Mpaka mwaka 2021, wahindi milioni 400 wanaishi kwenye umasikini uliopitiliza(wanashindea kupata mahitaji kama chakula, malazi nk).What do you mean? Yes,there is a large number of Dollar Milionares in India than in Sweden and Finland Combined together. India has about 3 Million Dollar Milionares as compared to 89 for Sweden and 68 for Finland.
Nilitarajia uanze na ghana. Ndo kuna kujitambua zaid katika democrasiaAlgeria, Botswana, Cape Verde, Mauritius, Morocco, Namibia na Reunion.
Nikishaona neno democrasia huwa natamani kutapikaKivipi mkuu?
Ukitoa SA na Angola kuna nchi gani zinaipita Nigeria,Ghana na Kenya kwa uchumi na demokrasia?
Angola unajua wewe.Nchi zenye unafuu Ni 3 tu. South Africa,Botswana na Angola. Zingine bado Zina safari ndefu sana.
Kenya na South Africab
Kenya? NoooUkitoa Africa Kusini,yenye hiyo chance ni KENYA na GHANA tu
Tanzania tulikua nayo ila tumeenda kusiko
Nigeria inakabiliwa na population problem na wizi
Angola politically unstable,viongozi wanajiwekea hela sana
Mauritius sijui Botswana,vinchi vidogo haviwezi kua superpower kabisa