Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Umenena! Hiyo tunaweza kuifananisha kwa mbali na wanaosema " naunga mkono juhudi" kwa kujitoa kundi moja kwenda jingine ndani ya nchi moja. Hulka ya Mwafrika ni kupenda ujiko wa kufanyiwa kazi na wengine na siyo kujiendeleza mwenyewe.Machifu wengi sana walirubuniwa na wakoloni na kujipanga nao katikakuhadaa juhudi za kupigania uhuru.
Hiini moja ya sababu Nyerere aliamuakupiga marufuku uchifu,ingawa yeye alitokea familia ya kichifu.