Ni nani Rodrick Mpogolo? Anatajwa kuwa Katibu Mkuu mtarajiwa wa CCM baada ya Bashiru

Makumbele

Member
May 9, 2009
65
390
Nimekutana na hii habari, ikabidi nitake kumjua kwa undani huyu jamaa.

Ametokea wapi hasa hadi kufika alipo? Ni kweli ndo atakuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM baada ya Bashiru? Tutarajie nini baadae?

Mwenye kuwa na wasifu wake na historia ya utumishi wake atushirikishe.
 
Nimekutana na hii habari, ikabidi nitake kumjua kwa undani huyu jamaa.

Ametokea wapi hasa hadi kufika alipo? Ni kweli ndo atakuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM baada ya Bashiru? Tutarajie nini baadae?

Mwenye kuwa na wasifu wake na historia ya utumishi wake atushirikishe.
Kama ambavyo hatukutarajia kuwa Bashiru angeula kuwa Chief Secretary basi ni hivyo hivyo tu hata CCM Secretary General tutashangazwa zaidi.
 
Hafai, ni aina ya watu atakayeendeleza siasa za kimafia na visasi. Nafasi ya KM na mwenezi watafutwe watu Charismatic wanaoweza siasa ya ushawishi. Lakini kwakuwa historia yake na Chato zimekaa vizuri anaweza kuangaliwa, ni mtu mwenye roho chafu sana, hana tofauti na bwana yule. Mara mia Bashiru.
 
Back
Top Bottom