Nimekutana na hii habari, ikabidi nitake kumjua kwa undani huyu jamaa.
Ametokea wapi hasa hadi kufika alipo? Ni kweli ndo atakuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM baada ya Bashiru? Tutarajie nini baadae?
Mwenye kuwa na wasifu wake na historia ya utumishi wake atushirikishe.
Ametokea wapi hasa hadi kufika alipo? Ni kweli ndo atakuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM baada ya Bashiru? Tutarajie nini baadae?
Mwenye kuwa na wasifu wake na historia ya utumishi wake atushirikishe.