Ni nani mwenye ujasiri wa ku expose majina ya waliochota fedha za ESCROW kwenye masandarusi?

mwandupe

Senior Member
Oct 16, 2008
108
61
Ni takribani miaka mitatu sasa tangu sakata la uchotaji fedha za ESCROW liibuliwe. Wakati linaibuliwa tulishaambiwa kwamba mbali na zile pesa zilizogawiwa na Rugemalila kwenye accouunts mbalimbali za Benki ya mkombozi, bado kuna fedha zingine kiasi cha mabilioni zilichotwa na watu mbalimbali kwa kutumia mifuko mikubwa (Masandarusi).

Cha kushangaza mpaka leo hatujapata fursa ya kuwekewa wazi majina ya hao wadau waliobeba hizo fedha kwa mifuko. Cha kujiuliza ni kwamba, hakuna hata mtu aliyethubutu kutaja hao watu, hata wale tunaoamini walipata access ya information mbalimbali za uchotwaji wa hizi fedha. Si CAG, si Kafulila mwenyewe aliyeshupalia hili sakata, si kamati ya bunge iliyopewa kazi ya kufanya uchunguzi wa hili suala iliyokuwa inaongozwa na Zitto Kabwe.

Ni nini kinaleta ukakasi wa ku wa expose hayo majina?
 
Pia kulikuwepo na akaunti tano zilizofunguliwa ambazo majina yake hayakuwekwa wazi mpaka leo zilizopokea hizo hela na kufungwa immediately

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi napenda sana kuipongeza bank ya Mkombozi kwasababu ilifata miiko ya FEDHA. Yaani JR alilazimika kuwagawia pesa watu wake electronically. Tukumbuke sio wajibu wa Bank kuanza kujiuliza why Fulani anapewa pesa but ni wajibu wa bank kuhakikisha transactions zinafanyika kwa njia sahihi and this is why through bank statement ya JR imeonesha nani kapata nini; rais anatakiwa kuifungilia mbali bank ya Stanbick kwa makosa ya fedha ilioyafanya. Kafulila atakua anaonewa tu kwa kutokujua nani alipata nini cause transactions hazikufanyika electronically.
 
Ni takribani miaka mitatu sasa tangu sakata la uchotaji fedha za ESCROW liibuliwe. Wakati linaibuliwa tulishaambiwa kwamba mbali na zile pesa zilizogawiwa na Rugemalila kwenye accouunts mbalimbali za Benki ya mkombozi, bado kuna fedha zingine kiasi cha mabilioni zilichotwa na watu mbalimbali kwa kutumia mifuko mikubwa (Masandarusi).

Cha kushangaza mpaka leo hatujapata fursa ya kuwekewa wazi majina ya hao wadau waliobeba hizo fedha kwa mifuko. Cha kujiuliza ni kwamba, hakuna hata mtu aliyethubutu kutaja hao watu, hata wale tunaoamini walipata access ya information mbalimbali za uchotwaji wa hizi fedha. Si CAG, si Kafulila mwenyewe aliyeshupalia hili sakata, si kamati ya bunge iliyopewa kazi ya kufanya uchunguzi wa hili suala iliyokuwa inaongozwa na Zitto Kabwe.

Ni nini kinaleta ukakasi wa ku wa expose hayo majina?
Ndugu yang mwandupe si kila pori ni la kuvamia mengine tuyaache kama yalivyo familia bado zinatuhitaji

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Ni takribani miaka mitatu sasa tangu sakata la uchotaji fedha za ESCROW liibuliwe. Wakati linaibuliwa tulishaambiwa kwamba mbali na zile pesa zilizogawiwa na Rugemalila kwenye accouunts mbalimbali za Benki ya mkombozi, bado kuna fedha zingine kiasi cha mabilioni zilichotwa na watu mbalimbali kwa kutumia mifuko mikubwa (Masandarusi).

Cha kushangaza mpaka leo hatujapata fursa ya kuwekewa wazi majina ya hao wadau waliobeba hizo fedha kwa mifuko. Cha kujiuliza ni kwamba, hakuna hata mtu aliyethubutu kutaja hao watu, hata wale tunaoamini walipata access ya information mbalimbali za uchotwaji wa hizi fedha. Si CAG, si Kafulila mwenyewe aliyeshupalia hili sakata, si kamati ya bunge iliyopewa kazi ya kufanya uchunguzi wa hili suala iliyokuwa inaongozwa na Zitto Kabwe.

Ni nini kinaleta ukakasi wa ku wa expose hayo majina?
Ikiwa wewe una clues za hizo transactions za huko Stanbic tusaidie wewe.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom