Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,336
- 1,215
Nadhani watu waadilifu wapo ila either ni waoga au wamebanwa na kukosa nafasi ya kusikika au kutambulika. Kwa maoni yangu nikifuatilia humu JF na kwingineko na hata katika vijiwe vya kawaida tunaona kuwa kuna wenzetu wenye uzalendo angalau wa mdomoni.