Ni Nani Jerry Muro?

maggid

JF-Expert Member
Dec 3, 2006
1,084
1,246
Tangu sakata la Jerry Muro liibuke mjadala umeelekea kwenye ' nadharia ya njama'.

Jeshi la Polisi ndilo linaloonekana kutupiwa lawama zaidi. Nahofia hatulitendei haki. Mimi najaribu kuvaa ' miwani ya giza'. Nina kiu ya kutaka kujua ukweli mzima wa sakata hili. Maana kuna wenye kuujua ukweli mzima, na ukweli ni mzigo mzito. Haubebwi na mtu mmoja, husambazwa, watu wakafahamu. Bila shaka tuko wengi wenye kiu hii. Na huu si wakati wa kutoa hukumu ' kishabiki'. Tuache sheria ichukue mkondo wake.

Na kuhusu Jerry Muro. Binafsi nimebahatika kukutana na hata kufanya kazi na wanahabari wengi wa Tanzania. Nasikitika sijapata kukutana na Jerry Muro. Nimemfahamu Jerry Muro kupitia runinga tu, haijapita zaidi ya miaka miwili tangu nianze kusikia jina lake na kumwona kwenye televisheni. Kuna mliosoma naye, kuna mliefanya kazi naye. Na mtusaidie kumwelezea Jerry Muro ili nasi tumfahamu alikotokea, tujue hapo alipo sasa, na itusaidie kupata picha ya wapi anakokwenda.
 
Jerry Muro ni kijana mjasiri sana na ni mkakamavu haogopi mtu namfananisha kwa Tiddo Mhando
 
Alianzia kazi ATN ile ya tv stesheni ya kidini Bongo
 
Tangu sakata la Jerry Muro liibuke mjadala umeelekea kwenye ' nadharia ya njama'.

Jeshi la Polisi ndilo linaloonekana kutupiwa lawama zaidi. Nahofia hatulitendei haki. Mimi najaribu kuvaa ' miwani ya giza'. Nina kiu ya kutaka kujua ukweli mzima wa sakata hili. Maana kuna wenye kuujua ukweli mzima, na ukweli ni mzigo mzito. Haubebwi na mtu mmoja, husambazwa, watu wakafahamu. Bila shaka tuko wengi wenye kiu hii. Na huu si wakati wa kutoa hukumu ' kishabiki'. Tuache sheria ichukue mkondo wake.

Na kuhusu Jerry Muro. Binafsi nimebahatika kukutana na hata kufanya kazi na wanahabari wengi wa Tanzania. Nasikitika sijapata kukutana na Jerry Muro. Nimemfahamu Jerry Muro kupitia runinga tu, haijapita zaidi ya miaka miwili tangu nianze kusikia jina lake na kumwona kwenye televisheni. Kuna mliosoma naye, kuna mliefanya kazi naye. Na mtusaidie kumwelezea Jerry Muro ili nasi tumfahamu alikotokea, tujue hapo alipo sasa, na itusaidie kupata picha ya wapi anakokwenda.

Mkuu,

Umesema vyema,na huna sababu ya kuvaa miwani ya mbao.Unachotaka wewe nikujua ninani hasa huyu kijana?Nadhani wako wengi kama wewe walio njia panda hiyo.

Kwa uchache wangu nafahamu kijana huyo JERRY MURO amesoma shule ya Msingi Ubungo National Houses (nyuma ya jengo la RUBADA,opposite na kanisa la KKKT ushilika wa Ubungo).
Nikijana mtanashati toka akiwa shule ya msingi,kama sikosehi wazazi wake waliishi ama wanaishi maeneo ya Ubungo/Mabibo external baada ya kumaliza shule ya msingi akaenda sekondari (sijajua bado ni ipi).alafu amepata mafunzo ya uandishi wa habari either TIME au DSJ kwani hizo shule ziko karibu karibu sana kati ya mwaka 2001 na 2002
 
yah hoja nzuri sana, once unapojua CV au background ya mtu inakuwa raisi kuunga dot vizuri kwani mpaka hapa majority tunawaona police ndio wako wrong, lakini inaweza kuwa kinyume

hebu wenye details tujuzeni
 
Hamna issue nyingine!? Muro Muro!!

JF ina uwanja mpana sana sio lazima uingie kwenye thread za Muro, kama unaona hakuna zinazokufaa basi anzisha zako tuchangie,
kwa nini ukereke na JF ni chama kubwa bwana!
 
Hamna issue nyingine!? Muro Muro!!

Naona Muro anachukua nafasi ya Zitto sasa,maana kuna kipindi ilikuwa kila ukiamka wakutana na thread ya Zitto,leo hii kila wakati ni 'masredi' tu ya Muro,inakera
 
Tangu sakata la Jerry Muro liibuke mjadala umeelekea kwenye ' nadharia ya njama'.

Jeshi la Polisi ndilo linaloonekana kutupiwa lawama zaidi. Nahofia hatulitendei haki. Mimi najaribu kuvaa ' miwani ya giza'. Nina kiu ya kutaka kujua ukweli mzima wa sakata hili. Maana kuna wenye kuujua ukweli mzima, na ukweli ni mzigo mzito. Haubebwi na mtu mmoja, husambazwa, watu wakafahamu. Bila shaka tuko wengi wenye kiu hii. Na huu si wakati wa kutoa hukumu ' kishabiki'. Tuache sheria ichukue mkondo wake.

Na kuhusu Jerry Muro. Binafsi nimebahatika kukutana na hata kufanya kazi na wanahabari wengi wa Tanzania. Nasikitika sijapata kukutana na Jerry Muro. Nimemfahamu Jerry Muro kupitia runinga tu, haijapita zaidi ya miaka miwili tangu nianze kusikia jina lake na kumwona kwenye televisheni. Kuna mliosoma naye, kuna mliefanya kazi naye. Na mtusaidie kumwelezea Jerry Muro ili nasi tumfahamu alikotokea, tujue hapo alipo sasa, na itusaidie kupata picha ya wapi anakokwenda

Habari ya Muro inahusiana vp na jukwaa la siasa...
hii ni mada nzuri lakini this is not right place for it,so tusipoteze maana ya jukwaa la siasa kuanza kujadili mada ambazo sio za kisiasa.
Tanfadhali ondoa hii thread hapa,sio mahali pake na tutaichangia tu huko utakapoiweka.
Huu ni wangu mtazamo masela msijenge chuki....
 
nimesoma naye kozi tofauti chuo kikuu, ni rafiki yangu

yeye alisoma 'sociology'

a very determined young person, he had a dream and he wanted to live it (baada ya kupitia rapsha kadhaa za maisha ya kifamilia)
amefanya kazi za utangazaji tangu tukiwa chuoni (alisoma na kufanya kazi part time), ATN, PRT (WAKATI HUO), ITV na saa TBC!!!
 
nimesoma naye kozi tofauti chuo kikuu, ni rafiki yangu

yeye alisoma 'sociology'

a very determined young person, he had a dream and he wanted to live it (baada ya kupitia rapsha kadhaa za maisha ya kifamilia)
amefanya kazi za utangazaji tangu tukiwa chuoni (alisoma na kufanya kazi part time), ATN, PRT (WAKATI HUO), ITV na saa TBC!!!
Bila kusahau ni mtu wa usalama wa taifa!
 
Naona Muro anachukua nafasi ya Zitto sasa,maana kuna kipindi ilikuwa kila ukiamka wakutana na thread ya Zitto,leo hii kila wakati ni 'masredi' tu ya Muro,inakera


Mkulu,

kuna kitabu fulani nina kisoma hapa (kinaweza kisiwe kinalandana na maada,ila nimeona ina faa),kunasehemu mwandishi anam-quote mtu akisema,,"Every thing is made known to man by its opposites".
Sasa they the way i see it,mtoa mada alitaka kumjua zaidi Bwn.Muro kupitia mkasa huu (the opposite,my take) basi tuwaache wenye kujua watuambie jamaa ni nani hasa ili tuwe na ufahamu nae
 
Hamna issue nyingine!? Muro Muro!!
Halafu inazidi kubore pale ambapo threads zinakuwa too nyingi bila mpangilio maalumu. Sasa Ni nani Jerry Muro ndani ya Siasa, kwenye habari mchanganyiko, kwenye celebrity ah. Inachosha macho
 
Mkulu,

kuna kitabu fulani nina kisoma hapa (kinaweza kisiwe kinalandana na maada,ila nimeona ina faa),kunasehemu mwandishi anam-quote mtu akisema,,"Every thing is made known to man by its opposites".
Sasa they the way i see it,mtoa mada alitaka kumjua zaidi Bwn.Muro kupitia mkasa huu (the opposite,my take) basi tuwaache wenye kujua watuambie jamaa ni nani hasa ili tuwe na ufahamu nae

Nimekusoma vizuri sana kiongozi wangu,nazungumzia tu masredi mengine yanayochipuka kama uyoga kumhusu JM...Maana jana kuna thread mtu kaeleza vizuri sana wasifu wa Jerry Muro..Pamoja mkuu
 
nimesoma naye kozi tofauti chuo kikuu, ni rafiki yangu

yeye alisoma 'sociology'

a very determined young person, he had a dream and he wanted to live it (baada ya kupitia rapsha kadhaa za maisha ya kifamilia)
amefanya kazi za utangazaji tangu tukiwa chuoni (alisoma na kufanya kazi part time), ATN, PRT (WAKATI HUO), ITV na saa TBC!!!
bht aksante kwa taarifa hizi- ni mwaka gani hiyo sociology? Huwenda nikawa namfahamu.

Uandishi wa habari alisomea wapi? mwaka?
 
Halafu inazidi kubore pale ambapo threads zinakuwa too nyinigi bila mpangilio maalumu. Sasa Ni nani Jerry Muro ndani ya Siasa, kwenye habari mchanganyiko, kwenye celebrity ah. Inachosha macho

mi nadhani habari zake zijamaa all over the forum mpaka mtu unashindwa kuunga which is which!!!!!!!!!!!!! hicho kinachosha wengi na kinabana pia watu kuchangia.............kweli ina-bore!!!!!!!! mpaka sas kuna zaidi ya nyuzi nne on this same thing!!!!!!!!!!!!!!! tooo destructive!!!!
 
Nimekusoma vizuri sana kiongozi wangu,nazungumzia tu masredi mengine yanayochipuka kama uyoga kumhusu JM...Maana jana kuna thread mtu kaeleza vizuri sana wasifu wa Jerry Muro..Pamoja mkuu

Heshima mbele Mkulu wangu,

nipe hiyo thread ya wasifu niende huko
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom