Ni nani huyu Irene Robert?

Demu mkali sana na ubovu wa mtu unategemeana na jicho la mwangaliaji, kwangu mm Pisi kali sana
 
Haya Sasa kwisha habari yangu!.. naenda kuumbuka nilimdanganya nina PhD kumbe la Saba D!
Tena ubovu anataka ile ya kuchati kwa video namkwepa lkn Toto Toto kweli aisee ntahakiki nakwenda hata kwa mganga!
Haya mambo muambiane huko private ndio maana jf wakaweka section ya pm
 
Nilikua na namba zake nilizifuta mana kabla ya kua maarufu alikua ananitext ananitumia nyimbo zake ili nimpe ushauri baada ya kuupata umaarufu akaacha kujibu meseji
 
Hiyo picha niliyoiona na hiyo shape anafanana kimtindo na demu mmoja street anaitwa Mwanahamisi isipokua Mwanahamisi anafanya kazi supermarket posta na hana umaarufu.

Mwanahamisi kamzidi huyu tako huyu kamzidi Mwanahamisi urefu.
mkuu acha porojo....tupia na picha ya mwanahamisi naona huyu hana viwango
 
Mimi sawa na bibi yako mwenzio mimi kibibi kikongwe
Usiogope mapenzi si umri mama nipe nikupe tupeane kipenzi.. mradi nimekuridhia Basi na tuweke nia.. acha kunibania nikabaki najililia chamsingi mapenzi na sio makwenzi..😉
 
Back
Top Bottom