secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Shep mbovu kabisa.....Eewaaaaa! Hii shape tamu sanaa. Ubarikiwe sana mkuu.
Let's meet at the top, cheers 🍻
ebana hv nyinyi masela hamjasafiri!!?
Shep mbovu kabisa.....Eewaaaaa! Hii shape tamu sanaa. Ubarikiwe sana mkuu.
Let's meet at the top, cheers 🍻
Yani huyu ndio wa kuja kumuanzishia thread humu! Chief jitahidi utembee kidogo uone watoto wakali.
Haya mambo muambiane huko private ndio maana jf wakaweka section ya pmHaya Sasa kwisha habari yangu!.. naenda kuumbuka nilimdanganya nina PhD kumbe la Saba D!
Tena ubovu anataka ile ya kuchati kwa video namkwepa lkn Toto Toto kweli aisee ntahakiki nakwenda hata kwa mganga!
mbona kafanana na Shilole. Kweli uzuri upo kwenye macho ya anaoumiliki. Ni wa kawaida mno kulinganisha na hizo sifa alizopewa
mkuu acha porojo....tupia na picha ya mwanahamisi naona huyu hana viwangoHiyo picha niliyoiona na hiyo shape anafanana kimtindo na demu mmoja street anaitwa Mwanahamisi isipokua Mwanahamisi anafanya kazi supermarket posta na hana umaarufu.
Mwanahamisi kamzidi huyu tako huyu kamzidi Mwanahamisi urefu.
bora hata yna2Mkuu huyo ndo Pisi kali kiasi ukamfungulia uzi?
Ama ukweli uzuri wa kitu upo machoni kwa anayekipenda.
Nisaidie kiingereza Kuna pisi ya marekani nimeopoa tatizo ung'eng'e mama ntaumbuka kiberenge wa watu..
Nimecheka mpaka nimepaliwaUkaumbuke tu.. mwenyewe patupu
Ndo kawaida ya wambea..😜😂Nimecheka mpaka nimepaliwa
NiwacheeeNdo kawaida ya wambea..
Na utapaliwa mpk utoke kidaka tonge..
Tuachane na hayo huko sikuwezi maana ushaanza kuniita nyonyo!!Niwacheee
Mwanamke umbea babu upo nyonyo
Na nilitaka ukuacheTuachane na hayo huko sikuwezi maana ushaanza kuniita nyonyo!!
Vipi weye mzima lkn..?
Mi buheri japo si Sana maana naumwa!.. na vile ukiongeza wewe kutonitaka ndo kabisa nazidi homa!.. usinifanyie hivyo.. unajua nakupenda..😉Na nilitaka ukuache
Nipo poa hofu kwako tu
Mimi sawa na bibi yako mwenzio mimi kibibi kikongweMi buheri japo si Sana maana naumwa!.. na vile ukiongeza wewe kutonitaka ndo kabisa nazidi homa!.. usinifanyie hivyo.. unajua nakupenda..
Usiogope mapenzi si umri mama nipe nikupe tupeane kipenzi.. mradi nimekuridhia Basi na tuweke nia.. acha kunibania nikabaki najililia chamsingi mapenzi na sio makwenzi..😉Mimi sawa na bibi yako mwenzio mimi kibibi kikongwe