Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,291
- 1,121
Huyu jamaa naona kanunua karibia ardhi yote ya uchimbaji wilaya ya songwe mkoani songwe na kufukuza wachimbaji wadogo sasa sijui anategemea vijana wachimbaji hao wataenda kufanya kazi gani na hamna shughuli yoyote huku zaidi ya uchimbaji wa dhahabu.