Timtim
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 608
- 124
Mi kwa muono wangu mdogo nadhani tatizo ni la Mkuu wa Nchi kuwafungua macho na kuwacha uhuru wa kila mjinga na mwwerevu kusema ovyo hadharani kama vichaa. leo imefikia watu wana uhuru wa kutapika maneno yeyote bila haya na adabu na wala kufikiria nini matokeo ya maneno yake baadae. Mkuu wetu ndiye aliyewaachia uhuru watu. Sijaona uhuru huu wa kuropoka kote duniani ila hapa kwetu Tz.