The teh ndoto za mchana. Hawa vijana huwezi kuwadhamini ndugu yangu. Prof anangisye Tiwari tangia alhmisi iliyopitaWampe Frank James Zotto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The teh ndoto za mchana. Hawa vijana huwezi kuwadhamini ndugu yangu. Prof anangisye Tiwari tangia alhmisi iliyopitaWampe Frank James Zotto
Nilikuwa natania tuu mkuuThe teh ndoto za mchana. Hawa vijana huwezi kuwadhamini ndugu yangu. Prof anangisye Tiwari tangia alhmisi iliyopita
Imekuwa kweli ila soon Mfinanga atatumbuliwa ili kupisha damu changaMfinanga alikuwa Principal DUCE kaja kuwa DVC Admin UDSM,Prof William alimrithi Mfinanga DUCE sasa watakuja kuwa wote UDSM
William VC,Mfinanga DVC Admin.
Sawahii haiwez kuisha mpk mwisho wa dunia
Alumni mnachangia chuo chenu kwa kiasi gan?Watushirikishe alumns tuchangie mawazo kuhusu mwenye weledi wa kusogeza chuo chetu mbele. Haya mambo ya wanasiasa kutuchagulia viongozi wa taasisi nyeti kama UDSM yameshapitwa na wakati. Au watangaze kabisa watu washindane na atakayefaulu vigezo husika ndo ateuliwe na Rais.