Ni nani atakuwa Waziri wa Ulinzi baada ya Mwinyi?

jitombashisho

JF-Expert Member
Jun 11, 2020
667
2,242
Hussein Mwinyi ambaye ni Waziri wa Ulinzi anayetarajiwa kumaliza muda wake mapema leo amechaguliwa awe mgombea wa CCM huko Tanzania Visiwani,Zanzibar. Jambo la kheri na hongera kwake!

Sasa basi,hoja hapa inabaki katika muktadha wa nani baada ya yeye atakuwa mbadala katika nafasi atakayoiacha wazi baadae baada ya Uchaguzi mkuu?

Ikumbukwe,Wizara ya Ulinzi ni Wizara inayohitaji kuongozwa na mtu makini, mwerevu na mwenye kiwango cha hali ya juu cha maadili bora!


Swali ni je ni nani atafaa kuwa...?
 
it doesnt matter! anyone kan be waziri hata wewe waweza pia! what matters now we again colonize Zenjibari without fear for more ten good years! leo kuna msiba mzito Zenjibari!salam zangu za rambirambi ziwafikie kina yakhe wote watusamehe machogo na wapokee mgeni kuwa Rais wao!! hahaha!! kweli zidumu fikra za Mwalimu nimeamini, the guy lives kwenye ulimwengu wa roho za wabongo!

Huu Muungano kumbe haufi aisee! Mlimani at work (Dr Bashiru)!!

Leo Rais Magufuli kampita uzalendo Nyerere kwa kuingiza CCM kuwa ya kizungu for the first time in the history of our country mchakato wa uteuzi wa Rais wa Zenjibari umekuwa wazi ( live), free and fair. Magufuli the new African Muzungu!! This guy is Special, Mbowe nae aige!!
 
Mimi nadhani Daktari yule wa Temeke Hospital anafaa sana, Dr chrispin Manyonyi jamani kuna vipaji vimejificha jamani acheni tu. Ana uwezo mkubwa sana kupita maelezo.
 
Kama huna cha kupost Bora ukae kimya.
Yaani swali la kipuuzi kwa wakati usio muafaka.
Hujajua hata Nani atashinda Ubunge halafu unauliza uwaziri wa ulinzi.
Hivi unaakili kweli wewe?

2020
 
Kama huna cha kupost Bora ukae kimya.
Yaani swali la kipuuzi kwa wakati usio muafaka.
Hujajua hata Nani atashinda Ubunge halafu unauliza uwaziri wa ulinzi.
Hivi unaakili kweli wewe?

2020
Kuna Cha kushinda ubunge au kuna kupeana ubunge muhimu tu Kama mmliki wa chama mnaivana umepita
 
Back
Top Bottom