tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Maantiki ya kutaka kujua mlipaji wa gharama ni nini? Hujanionyesha kwamba TL mwenyewe hawezi kujigharamia so why nianze kutafuta mtu wa pili kama wa kwanza yaani mhusika hajathibitishwa kwamba hawezi kujigharamia? Pia ni kuwaza kimaskini kwamba kila msaada una masharti mabayaJibu swali gharama za Lisu huko Ulaya zinalipiwa na nani?
Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu