Ni nani anayesimamia gharama ya ziara za Lissu huko Ulaya na Marekani na anategemea faida gani?

Mwanasheria msomi nchini Tanzania ambaye alikuwa nje kwa matibabu baada ya shambulio la kupigwa na risasi ameanza ziara huko Ulaya na Marekani kwa madai kwamba anataka aieleze dunia tukio zima la yeye kushambuliwa na risasi. Na ziara hiyo imeshaanza tayari.

Sasa kwa mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima tu utahisi kwenye hii ziara ya Lisu huko Ulaya na Marekani kuna mtu nyuma yake anayesuka mipango na kuratibu mpango mzima.

Mtu huyu anayesimamia na kugharamikia ziara hii pengine na yeye atakuwa na malengo yake binafsi ambayo pengine sisi wapenda amani na maendeleo hatuyajui.

Sasa swali linabaki pale pale ni nani huyo anayegharamia ziara ya mtanzania mwenzetu Tundu Lisu?

Sambamba na hilo, je anategemea faida gani kutokana na sapot yake hiyo kutoka kwa Lisu?

Hivi hiyo ziara ya Lisu ina manufaa kwa nchi kweli au ina manufaa kwa lisu na watu wanaomsapoti?

Hivi ni nani wewe uliye nyuma ya ziara ya mtanzania mwenzetu?
Huwezi pata majibu zaidi ya matusi ya nguoni na kejeli.huruhusiwi kuhoji lolote lile kuhusu Lisu.Inachotakiwa we ni kuimba nyimbo za kumsifu lisu na matusi kwa jiwe. Kama unataka kueleweka Humu Anzisha uzi wa kumsifu Lisu au uzi wa kumtukana jiwe.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
bado hamjakubali kwamba TL sio level yenu? ebu endeleeni na yenu. Mungu alishawaonyesha kwamba huyu sio size yenu.
 
bado hamjakubali kwamba TL sio level yenu? ebu endeleeni na yenu. Mungu alishawaonyesha kwamba huyu sio size yenu.
Jibu swali gharama za Lisu huko Ulaya zinalipiwa na nani?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Mwanasheria msomi nchini Tanzania ambaye alikuwa nje kwa matibabu baada ya shambulio la kupigwa na risasi ameanza ziara huko Ulaya na Marekani kwa madai kwamba anataka aieleze dunia tukio zima la yeye kushambuliwa na risasi. Na ziara hiyo imeshaanza tayari.

Sasa kwa mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima tu utahisi kwenye hii ziara ya Lisu huko Ulaya na Marekani kuna mtu nyuma yake anayesuka mipango na kuratibu mpango mzima.

Mtu huyu anayesimamia na kugharamikia ziara hii pengine na yeye atakuwa na malengo yake binafsi ambayo pengine sisi wapenda amani na maendeleo hatuyajui.

Sasa swali linabaki pale pale ni nani huyo anayegharamia ziara ya mtanzania mwenzetu Tundu Lisu?

Sambamba na hilo, je anategemea faida gani kutokana na sapot yake hiyo kutoka kwa Lisu?

Hivi hiyo ziara ya Lisu ina manufaa kwa nchi kweli au ina manufaa kwa lisu na watu wanaomsapoti?

Hivi ni nani wewe uliye nyuma ya ziara ya mtanzania mwenzetu?
Kwa nini Nyerere alikwenda kudai uhuru wetu UN ? kwani hao UN hii nchi ilikuwa yetu ama yao?
 
Mwanasheria msomi nchini Tanzania ambaye alikuwa nje kwa matibabu baada ya shambulio la kupigwa na risasi ameanza ziara huko Ulaya na Marekani kwa madai kwamba anataka aieleze dunia tukio zima la yeye kushambuliwa na risasi. Na ziara hiyo imeshaanza tayari.

Sasa kwa mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima tu utahisi kwenye hii ziara ya Lisu huko Ulaya na Marekani kuna mtu nyuma yake anayesuka mipango na kuratibu mpango mzima.

Mtu huyu anayesimamia na kugharamikia ziara hii pengine na yeye atakuwa na malengo yake binafsi ambayo pengine sisi wapenda amani na maendeleo hatuyajui.

Sasa swali linabaki pale pale ni nani huyo anayegharamia ziara ya mtanzania mwenzetu Tundu Lisu?

Sambamba na hilo, je anategemea faida gani kutokana na sapot yake hiyo kutoka kwa Lisu?

Hivi hiyo ziara ya Lisu ina manufaa kwa nchi kweli au ina manufaa kwa lisu na watu wanaomsapoti?

Hivi ni nani wewe uliye nyuma ya ziara ya mtanzania mwenzetu?
Nani aligharimia matibabu yake? Ukimjua aliyegharimia matibabu yake utamjua anayegharimia safari. Kutelekezwa kubaya.
 
Haya ndio maswalim ya kujiuliza!!!! KWa faida ya nani? Kwa faida ya Watanzania kwweli?!?!?
Kwamba huoni kuna logic hapo?Yaani hujawah kaa hata siku moja kuhoji Lisu anatibiwa na nani?Anafanya ziara kwa gharama za nani?Dereva tunaambiwa anasoma, anasoma nini nani anagharamia?Huku kote huoni kuna hoja za mcng zaid kuzungusha viuno eeh?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Hela zetu za ruzuku ndiko zinakoishia, ndo maana wanapinga Mswada mpya, hawa jamaa chadema ni wezi na wala hawana huruma na hii nchi.
Wewe unayekosa huruma kwa mtu aliyemiminiwa risasi zaidi ya 30 kweki utakuwa na huruma na nchi...!?

Endelea kula tu usidanganye watu... Ni muda wako.
 
Kumbe pesa anayo ya kufanyia utalii duniani..ya matibabu huko ulaya anataka apewe kutoka kwenye kodi ya maskini wa tanzania..kweli ubinadamu kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafanya kazi wizara ya mambo ya ndani hadi kujua kwamba jalada halijafunguliwa?

Je kwa nini dereva wa lissu hataki kutokea kueleza kilichojiri ili jalada lisonge mbele?

Kwa nini chadema mnatumia nguvu kubwa sana kumficha dereva wa lissu.?
Hadi mnaingia gharama ya kile mnachoita masomo yake ughaibuni.?

Yajayo yana nafuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wamepigwa ganzi ya kichwa, Humo kichwani somo linaloeleweka ni kuimba nyimbo za kumsifu lisu tu. Huruhusiwi kuhoji lolote lile kuhusu Lisu. Anzisha uzi msifu lisu na mponde jiwe,unaweza pata likes hadi ulachangangikiwa

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Serikali hii inafanya kazi kubwa mno kuimarisha uchumi ambao unaonekana wazi kabisa. Ili kufunga watu macho wajifanye hawaoni au wadhani kuna mabaya yamejificha ni lazima itumike nguvu kubwa sana sana. Hao wazungu hawafurahii kuiona baadhi ya miradi ikifanywa na serikali bila wao kuambiwa ahsante kwa misaada. Wale ambao walikuwa wakija kuchota madini kiulaini hawana amani. Wako tayari kutoa pesa kiasi chochote kuhakikisha hii serikali haiendelei na mipango hiyo ya maendeleo. Kwa hiyo usishangae Lissu akatembea ulimwengu wote eti kuwafanya wachukie serikali hii. Yaani ameshindwa kuwashawishi Watanzania anaenda kuwashawishi wazungu. Kumbuka mpaka kesho anawashawishi ACACIA wafungue kesi kuhusu kuzuiwa kwa makanikia yao ila nao wanashtula. Yeye ale tuuu
Wewe ndiyo hujui kitu kabisa !!!. Nani kakuambia hiyo miradi unajengea makusanyo ya ndani ?!. Pata takwimu vizuri tangu hawa jamaa waingie deni la taifa limepanda kwa % ?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom