Ni nani anayeingilia hii mifumo ya Taasisi nyeti za Nchi? TRA, TPA, TANESCO na ana malengo gani?

Hahahahah atajua hajui sio 😹😹😹 maana tukisema watanzania bila pipe range hawaendi tunaonekana hatuna akili! Haya wacha tuone kama kuwabembeleza itafua dafu
😂

Eti pipe range! Kwaiyo watanzania bila mijeledi awakuelewi kabisa.

Nahisi tutakuwa na VINASABA vya kipunda punda 😂
 
Waweza kuta ni kijana aliyesomea IT au Comouter Engineerjng na ana hasira hajapata ajira ndiyo anafanya hizi mambo
 
Kwani mwendazake alipokuwa anasema hii inchi watu wameichezea sana hamkumuelewa haya eleweni sasa mwendazake kaenda watu washaanza ichezea

Were unazani hizo pesa wanazokisanya katika vituo vya tanesco kuuza umme zitaenda zote serikalini upigaji na uhuni umeaanza watu wanataka washike pesa cash mambo ya mifumo mifumo inawachelewesha sana
Lazima zitaenda hazina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya awamu ya 2015 mpaka 2020 ilitengeneza mifumo mbalimbali imara ambayo ilizuia upotevu wa mapato TRA, TPA, TANESCO, kila sehemu.

Hivyo mimi kwa uelewa wangu bila ushabiki wanaoharibu mfumo ni wale ambao hawakuubali wala kuupenda mfumo.

Siwezi kusema kwamba kuna watu wanatakiwa kutolewa hiyo sio kazi yangu. Ila nachoweza kusema mifumo yote ya fedha iliyotumika kukusanya mapato 2015 - 2020 ndio inayotumika katika nchi zilizoendelea kwasasa ili kuzuia leakage ya mapato serikalini.

Mifumo hiyo ikiharibiwa au kuingiliwa mapato mengi yanaweza kupotea.
 
Kwani mwendazake alipokuwa anasema hii inchi watu wameichezea sana hamkumuelewa haya eleweni sasa mwendazake kaenda watu washaanza ichezea

Were unazani hizo pesa wanazokisanya katika vituo vya tanesco kuuza umme zitaenda zote serikalini upigaji na uhuni umeaanza watu wanataka washike pesa cash mambo ya mifumo mifumo inawachelewesha sana
Watu wanalilia pesa irudi mtaani, sasa cha ajabu nini hapo?
 
Kwani amekaa hata mwaka ?!!!

Kero za nchi kila uchao huzaliwa na kuzaliana.....

Wahusika wa wizara wanaona na si kila jambo litokeapo tu basi RAIS wa nchi huita MEDIA na kuliongelea.....yako maagizo ya UKALI anayoyatoa kwa wahusika pasina sisi wananchi KUONA....

RAIS ANAFANYA KAZI MASAA 24 NA HALALI KM TUNAVYOLALA SISI!!!

#StaunchSupporterOfSSH
Matokeo nchi inakaa gizani siku tatu?
 
Huyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na anataka nini na ana nguvu kiasi gani? na lengo lake ni nini?
Huyu anaweza kuwa na nia njema: kumtoa matongotongo ili atazame kwa macho yake mwenyewe
 
Nikili wazi SAMIA HATUFIKISHI POPOTE kwa mwendo huu LUKU TOKA J3 HADI LEO ALHAMIS WATU WAKO GIZANI RAIS YUPO TU hasemi lolote.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile a
Unaongea kwa mihemko tu ya kukosa tamthilia unayoifuatilia baada ya kukosa umeme, wala huna ushahidi wa kututhibitishia kuwa mama hawezi kutufikisha popote.
 
Back
Top Bottom