Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Mataga!?Huyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na anataka nini na ana nguvu kiasi gani? na lengo lake ni nini?
Mataga!?Huyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na anataka nini na ana nguvu kiasi gani? na lengo lake ni nini?
😂Hahahahah atajua hajui sio 😹😹😹 maana tukisema watanzania bila pipe range hawaendi tunaonekana hatuna akili! Haya wacha tuone kama kuwabembeleza itafua dafu
Msukuma hainuliki wewe ni mzito sanaHao wnawainua wasukuma bila kujua
Nipo hp nakusikiaWaweza kuta ni kijana aliyesomea IT au Comouter Engineerjng na ana hasira hajapata ajira ndiyo anafanya hizi mambo
Lazima zitaenda hazina.Kwani mwendazake alipokuwa anasema hii inchi watu wameichezea sana hamkumuelewa haya eleweni sasa mwendazake kaenda watu washaanza ichezea
Were unazani hizo pesa wanazokisanya katika vituo vya tanesco kuuza umme zitaenda zote serikalini upigaji na uhuni umeaanza watu wanataka washike pesa cash mambo ya mifumo mifumo inawachelewesha sana
SUKUMA GANGHuyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na anataka nini na ana nguvu kiasi gani? na lengo lake ni nini?
CodeTujulushe unachokifahamu ili tuweze kutoa michango yetu,pamoja tujenge taifa letu.
Yaani kenge unahangaika sana .... unadhani enzi hizo Karugenda, Mjengwa na Ulimwengu walikuwa wanakupa habari za kweli tupu? Umejikita kiuchochezi ...unahangaika kila uchao...JPM anaishi nawe kila ukifumbua jicho utamwona.Hakuna Mtanzania aliyeiibia nchi hii kama dhalimu magufuli. View attachment 1791251
Spana muhimu sana😂
Eti pipe range! Kwaiyo watanzania bila mijeledi awakuelewi kabisa.
Nahisi tutakuwa na VINASABA vya kipunda punda 😂
Wasukuma wanaogopeka sana saa hivi au hii mijitu ni mi genius hatujuiSubiri kina Bujibuji wakiamka watakwambia ni sukuma gang
Watu wanalilia pesa irudi mtaani, sasa cha ajabu nini hapo?Kwani mwendazake alipokuwa anasema hii inchi watu wameichezea sana hamkumuelewa haya eleweni sasa mwendazake kaenda watu washaanza ichezea
Were unazani hizo pesa wanazokisanya katika vituo vya tanesco kuuza umme zitaenda zote serikalini upigaji na uhuni umeaanza watu wanataka washike pesa cash mambo ya mifumo mifumo inawachelewesha sana
Matokeo nchi inakaa gizani siku tatu?Kwani amekaa hata mwaka ?!!!
Kero za nchi kila uchao huzaliwa na kuzaliana.....
Wahusika wa wizara wanaona na si kila jambo litokeapo tu basi RAIS wa nchi huita MEDIA na kuliongelea.....yako maagizo ya UKALI anayoyatoa kwa wahusika pasina sisi wananchi KUONA....
RAIS ANAFANYA KAZI MASAA 24 NA HALALI KM TUNAVYOLALA SISI!!!
#StaunchSupporterOfSSH
Wameshamtoa kafara mkurugenzi wa IT; stupid solutionsNikili wazi SAMIA HATUFIKISHI POPOTE kwa mwendo huu LUKU TOKA J3 HADI LEO ALHAMIS WATU WAKO GIZANI RAIS YUPO TU hasemi lolote.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu anaweza kuwa na nia njema: kumtoa matongotongo ili atazame kwa macho yake mwenyeweHuyu anayeingilia hii mifumo kumhujumu mama Samia ni nani na anataka nini na ana nguvu kiasi gani? na lengo lake ni nini?
Unaongea kwa mihemko tu ya kukosa tamthilia unayoifuatilia baada ya kukosa umeme, wala huna ushahidi wa kututhibitishia kuwa mama hawezi kutufikisha popote.Nikili wazi SAMIA HATUFIKISHI POPOTE kwa mwendo huu LUKU TOKA J3 HADI LEO ALHAMIS WATU WAKO GIZANI RAIS YUPO TU hasemi lolote.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile a