Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Hahahahah atajua hajui sio 😹😹😹 maana tukisema watanzania bila pipe range hawaendi tunaonekana hatuna akili! Haya wacha tuone kama kuwabembeleza itafua dafumama si alisema hata makampuni yaliyokubaliana na magufuri yameshaanza kumkazia..mama inabidi aelewe kua hizi kazi chafu ila lazima mtu azifanye...kujifanya yeye msafi na magu mchafu atajua hajui...hao hao anaooona ndo watu wake watamwonesha mji