Za Uhakika huyu sio chotara wa kiarabu bali ana asili ya uyahudi
Huu ni ukweli niliwahi kuambia na wazee wa miaka ya 47
Alijifanya mwarabu kutokana na siasa za wakati huo
Na watoto wao wahaoa warabu na waafrika lakin asili ya mwanzo kuja hapa bongo ni uyahudi
una ushahidi gani? fafanua.