Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,395
- 14,151
Mzee ilikuwa ni zamani saivi sidhani Kama Kuna mazingira mazuri hata ya ufugaji.Ushamba wako tu Unashangaa ng'ombe mbili kwenye mikoa kama Mwanza, Simiyu Shinyanga na geita au Mara?
Kule kijana wa miaka 16 kuwa na ng'ombe 5 ni kawaida.
Acha kushangaa
Binafsi huwa napiga Vita Sana ng'ombe ndugu hazina umuhimu wowote. Zinashikilia watoto hawasomi,
Wanaibiana na kuuana,
Zinaleta queries na nahitaji Mara wamekuja kula chakula shambani kwangu,
Yaani ni vurugu tupu,ukilala haulali unawaza wataibiwa,
Watu wanawekeza in modern economy nowdays.
Binafsi Nina uwezo wa kuwekeza kwa cows Ila environment not friendly.
Miaka ya 90 kurudi nyuma ilikuwa ni cows cows basi kichwani.
Hii nimetoa uzoefu kwa wilaya yangu ya Tarime hasa so sio lazima uzoefu huu utumike simiyu shy mza kagera chato n.k