VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mwalimu wa Historia anawauliza wanafunzi wake
Mwalimu: Eeenhe! Ni nani aliyemuua Chifu Mkwawa?
Mwanafunzi wa kwanza; Aka sio mimi!
Mwanafunzi wa pili:Wallahi siyo mimi ati!
Mwnafunzi wa tatu: Sio mimi,kwanza mimi jana sikuja shule
Mwalimu alipoona wanafunzi wote ni majuha akaamua kumuita Mkuu wa Shule.Mkuu wa Shule alipokwenda akawauliza lile swali kwa mikwara na vitisho vya kutosha.Mambo yakawa vilevile. Mkuu wa Shule aakamwita Mwalimu wa Historia pembeni na kumnong'oneza " Lakini una uhakika muuaji yupo darasa hili? Du,kumbe naye ni kilaza...
Mwalimu: Eeenhe! Ni nani aliyemuua Chifu Mkwawa?
Mwanafunzi wa kwanza; Aka sio mimi!
Mwanafunzi wa pili:Wallahi siyo mimi ati!
Mwnafunzi wa tatu: Sio mimi,kwanza mimi jana sikuja shule
Mwalimu alipoona wanafunzi wote ni majuha akaamua kumuita Mkuu wa Shule.Mkuu wa Shule alipokwenda akawauliza lile swali kwa mikwara na vitisho vya kutosha.Mambo yakawa vilevile. Mkuu wa Shule aakamwita Mwalimu wa Historia pembeni na kumnong'oneza " Lakini una uhakika muuaji yupo darasa hili? Du,kumbe naye ni kilaza...